Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA KAMILI YA RAIS KIKWETE JANA KWA WAZEE WA MKOA WA DAR KUHUSU SKENDO YA...

Mh.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na taifa kupitia Wazee wa Dar es Salaam jana katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadik...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU KIONGOZI AMSIMAMISHA KAZI KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHARTI NA...

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, amemsimamisha kazi kwa muda Ndugu Eliakim Maswi, Katibu Mkuu ya Wizara ya Nishati na Madini, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake, kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MSANII NASEEB ABDUL ‘DIAMOND’ IKULU, AWAPONGEZA YEYE...

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa msanii Naseeb Abdul “Diamond”  juu ya ushindi wake wa  tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne Desemba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: MWADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO ALIPOMTEMBELEA RAIS KIKWETE IKULU...

Rais Dkt Jakaya Mrisho kikwete akimlaki Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, aliyekwenda kumjulia hali na kumpa pole Ikulu jijini Dar es salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EXCLUSIVE: TANZANIAN PRESIDENTS ACADEMIC QUALIFICATIONS

Tanzania as a country has come a very long way, right from pre – independence of the various areas that make up Tanzania to post – independence and also the merging of Zanzibar and Tanganyika into one...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOREA YAKOSA INTERNET KWA MASAA 9, MAREKANI YAHISIWA KUHUSIKA!

Mawasiliano ya internet nchini Korea Kaskazini yamerejea leo Jumanne baada ya kupotea kwa zaidi ya saa tisa.“Ni kama vile Korea Kaskazini ilifutwa kwenye ramani ya dunia ya Internet,” Rais wa kampuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND YATOA RATIBA YAKE YA WIKI TUKIANZA NA MKESHA WA X-MASS USIKU WA...

24.12.14 Mkesha wa XMASS tutakua ESCAPE1, show itaanzaa saa mbili usiku, kiingilio buku 7000/= tu: tukutane ESCAPE1 tuikaribishe XMASSVile vile tunapenda kutoa taarifa na kuwaomba radhi wadau wetu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA NGORONGORO: OLOLOSOKWAN WAJIWEKA TAYARI KUTIMIZA NDOTO YA KIJIJI CHA...

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues aliposimama kwenye Kijiji cha Ngeresero kwa ajili ya kuwaungisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HELP THEM TO MAKE THIS CHRISTMAS SPECIAL FOR THE LESS FORTUNATE. YOU CHOOSE,...

In light of the holiday season Hellofood and Rotary Club of Bahari (Dar es Salaam) is running a Corporate Social Responsibility campaign called Light Up A Soul. This campaign allows the public to go to...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutoka Arumeru: Ofisa Mtendaji Kata aahirisha kesi ya Joshua Nassari

Kesi ya kuchoma moto bendera ya CCM inayomkabili Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari (pichani) jana iliahirishwa na Ofisa Mtendaji wa Kata ya Maji ya Chai, Ndikilo Mbise kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh Ester Matiko Afurahia Krismasi na Mamia ya Watoto Waishio Katika Mazingira...

Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA) Mh Ester Matiko amesherehekea Siku Kuu ya Krismasi pamoja na watoto waishio katika mazingira magumu Tarime Mkoani Mara na kupata chakula pamoja kama sehemu ya Shukurani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa Monduli Edward Lowassa na Familia Yake Wahudhuria Ibada ya Sikukuu...

Mh Edward Lowassa akizungumza katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania la Mwanakwerekwe, mjini Unguja, Zanzibar alipohudhuria ibada ya Skukuu ya Krismasi jana. Kulia ni Mchungaji wa Kanisa hilo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNIC YAELIMISHA SIKU YA CHOO KWA VIJANA WALIO NJE YA SHULE

Siku ya choo duniani ambayo huadhimishwa tarehe 19 Novemba. UNIC waliadhimisha siku hii kwa kuwakutanisha vijana walioko nje ya shule  tarehe 23 Desemba 2014 kwa lengo la kuwaelimisha na kuwahamasisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: SAFARI YA MABALOZI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KATIKA SIKU YA KWANZA

Desemba 16 mwaka huu Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi ,Mh Benard Membe alikabidhi bendera kwa Balozi Adadi Rajabu kwa niaba ya Mabalozi ,ikiwa ni ishara ya kuanzisha safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maswali 10 kwa Zitto Kabwe

Gazeti la Mwananchi limekuwa na utaratibu wa kukusanya maswali kumi kitoka kwa wananchi na kuyawasilisha kwa Mbunge wa Jimbo husika kwa majibu yake.Toleo Na. 5268 la Disemba 25, 2014 lilikuwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAGERA KUJIVUNIA UWANJA WA NDEGE WA KISASA

Na Saidi Mkabakuli, KageraMkoa wa Kagera na maeneo ya jirani wataanza kujivunia uwanja wa ndege wa kisasa kufuatia kukamilika kwa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba.Akizungumza na Wakaguzi wa Miradi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOSHUA NASSARI AWAFUNDA WENYEVITI WAPYA WA MITAA WA CHADEMA JIMBONI KWAKE

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari akizungumza na wenyeviti wapya wa mtaa pamoja na wajumbe waliochaguliwa kwa tiketi ya CHADEMA katika Wilaya ya Arumeru Mashariki katika semina iliyoandaliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANSOUR HIMID AJIUNGA RASMI CUF, ZANZIBAR

Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akimpongeza Mhe. Mansour Yussuf Himid baada ya kuamua kujiunga na chama hicho na kumkabidhi rasmi kadi ya CUF katika viwanja vya Paje, Wilaya ya Kusini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYABIASHARA SOKO LA VINYAGO MASAI MARKET LILILOTEKETEA KWA MOTO HIVI...

Wafanyabiashara wa soko la vinyago la Mount Mure Curio Craft maarufu kama Masai Market wakishangilia baada ya kupatiwa kifuta machozi cha shilingi milioni 17 na benki ya Finca ambayo pia iliwafutia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Khalid, Athanas na Juma Waliotaka Kwenda Ikulu Tokea Geita Kwa Miguu Waishia...

VIJANA watatu pichani; Khalid Selemani, Athanas Michael na Juma Maganga wanaoaminika kuwa ni wafuasi wa Chama Kikuu cha Upinzani CHADEMA, wamekamatwa na Polisi eneo la Magomeni Mapipa Jijini Dar es...

View Article
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live