Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Viewing all 1899 articles
Browse latest View live

Multichoice Tanzania yajikita katika kusambaza Digitali katika shule za msingi Tanzania.

$
0
0

Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi akiwakaribisha wageni wanahabari katika hafla mchapalo ya kusheherekea Africa Day na Dstv ambapo amesema DStv inatoa nafasi kwa wateja wake kuwa na fursa ya kuchagua vifurushi mbalimbali kulingana na uwezo wa mteja ambacho cha uwezo wa chini kabisa ni Access chenye zaidi ya channeli 40 gharama yake ni nafuu sana ambapo mteja atalipia shilingi 16,500 kwa mwezi. (Picha na Zainul Mzige wa dewjiblog).

Meneja wa Fedha wa kampuni ya Multichoice Tanzania, Bw. Francis Senguji akizungumzia malengo ya DStv Tanzania ambapo amesema wao kama waendeshaji wa biashara nyingine barani Afrika wanaojali na kuthamini maendeleo ya jamii wameona ni wajibu kusaidia jamii ili kuweza kuendeleza maendeleo ya kijamii nchini Tanzania.

Kwa kuendeleza hilo Multichoice ina mfumo wa kutoa elimu mashuleni ( Multichoice Resource Centre) hivyo watamumia jukwaa la Teknolojia kama darasa kwa njia mbalimbali kuwapa jamii nafasi ya kuendeleza vipaji na ujuzi.

Mfumo huo kutoa rasilimali kwenye shule kama vile ving'amuzi vya Satellite, VCRs/DVD na kifurushi cha elimu cha Dstv. Mpaka sasa Multichoice imeanzisha vituo vya rasilimali jamii katika shule 82 nchi nzima kwenye mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, Iringa, Kagera, Mbeya, Pwani na Tanga.

Meneja Uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (katikati) akifafanua jambo wakati wa hafla mchapalo katika kusheherekea usiku wa Africa Day na DStv. Kulia ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Furaha Samalu na kushoto ni Meneja Uhusiano wa Kampuni hiyo Barbara Kambogi.

Waalikwa katika hafla mchapalo ya kusheherekea usiku wa Africa Day na DStv katika Hoteli ya New Africa ya jijini Dar usiku wa kuamkia leo.

Kutoka kushoto ni Meneja Masoko wa Multichoice Tanzania Furaha Samalu, Blogger John Bukuku wa Fullshangwe Blog, Meneja Uendeshaji wa kampuni hiyo Ronald Shelukindo, Mdau wa DStv na Meneja wa Fedha katika kampuni hiyo Bw. Francis Senguji wakipozi kwa picha.

Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi (kulia) akifurahi jambo Wanahabari Sidi Mgumia (katikati) na Mama Mhina.

Ronald Shelukindo na Mdau LEMUTUZ wa Blog ya jamii.

Kutoka kushoto ni Meneja Masoko wa Multichoice Tanzania Furaha Samalu, Meneja Uendeshaji wa kampuni hiyo Ronald Shelukindo, Meneja wa Fedha katika kampuni hiyo Bw. Francis Senguji na mdau wa DStv wakipozi mbele ya camera yetu wakati wa hafla ya kusheherekea African Day na DStv iliyowakutanisha waandishi wahabari kutoka vyombo mbalimbali nchini.

Bloggers wakishow love...Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Fullshangwe Blog John Bukuku, William Malecela wa Blog ya wananchi a.k.a LEMUTUZ na Operations Manager wa Mo Blog Zainul Mzige a.k.a Bigzee katika hafla mchapalo ya kusheherekea African Day na DStv katika Hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam.

Wanahabari wakiwa bize kujaza Quiz iliyotolewa na kampuni ya Multichoice Tanzania ambapo mshindi kwanza amezawadiwa Full Set ya King'amuzi cha Dstv na 'Subscription' ya mwezi mmoja na washindi kumi wamezawadiwa kofia na T-shirts za Supersport moja ya chaneli zinazopatikana katika king'amuzi cha Dstv.

Wanahabari wakiendelea kuumiza kichwa huku wengine waki-google majibu ya Quiz hiyo kupitia simu zao za kiganjani.

Mtangazaji wa Radio Dennis Buslwa a.k.a Ssebo (kulia) akiwa busy kutafuta majibu ambapo tunahisi alikwa anawasiliana na watu wa Mo Blog wampe majibu kamili. Wengine ni Kamera Man wa Channel Ten na Mtangazaji wa Radio Salma Msangi pamoja na mdau wa Star Tv.

Barbara Kambogi akiteta jambo na Angela Msangi wa TBC.

Dada Revina Bandihai wa kampuni ya Multichoice Tanzania na HR Manager wa kampuni hiyo.

Ronald Shelukindo na Dada Furaha Samalu wakifungua mziki wa Kiafrika huku Bw. Francis Senguji akiserebuka na mdau.

Mkurugenzi wa Fullshangwe Blog John Bukuku akiserebuka na Meneja Uhusiano wa Multichoice Tanzania Barbara Kambogi wakati wa hafla hiyo.

Salma Msangi akionekana Kiafrika zaidi akiyarudi na Khadija Kalili wa Jambo leo.

Kwaito ilichezeka kisawa sawa....Chezea Multichoice wewe.....Ilinogaje.!

Kutoka kushoto ni Blogger Cathbert Angelo wa kajunason Blog, Mpiganaji Fadhili Akida na Blogger Othman Michuzi wa mtaa kwa mtaa Blog wakipoowz mbele ya kamera yetu.

Bloggers katika picha ya pamoja.

Dada Revina Bandihai wa Multichoice Tanzania na Bw. Francis Senguji wakisataka Rhumba wakati wa hafla hiyo.

Meneja wa Fedha wa Multichoice Tanzanua Bw. Francis Senguji akimpongeza Ssebo baada ya kuibuka mshindi katika Quiz iliyoendesha na Kampuni hiyo ambapo alinyakua Full Set ya King'amuzi cha Dstv na 'Subscription' ya mwezi mmoja.

Pichani juu na chini Meneja Uhusiano wa Multichoice Tanzania Barbara Kambogi akigawa Kofia na T-shirts kwa washindi wa Quiz ilyoendeshwa na kampuni hiyo wakati wa kusheherekea Africa Day na Dstv.

Dada Revina Bandihai (kushoto) wa Multichoice Tanzania akishow love na washindi wa Quiz iliyoendeshwa na kampuni hiyo.

Wanahabari wakishow love...Thank you DStv for the Cocktail Party to celebrate Africa Day with DStv.

CHANZO: HAKINGOWI.COM


Taswira: Rais Kikwete ahudhuria kikao cha SADC jijini CAPE TOWN

$
0
0

Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya SADC Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete(Watatu kushoto) akiongoza kikao maalum cha Kamati ya Ulinzi na Usalama ya SADC kilichofanyika jijini Cape Town Afrika ya Kusini leo.Wengine katika picha ni wajumbe wa kamati hiyo akiwemo mwenyeji Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini(kulia),Waziri wa Mambo ya nchi za nje wa Namibia Bibi Netumbo Nandi-Ndaitwa(kushoto) na wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa SADC Dkt.Tomaz Salomao.

Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya SADC Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijadiliana jambo na Katibu mkuu wa Jumuiya ya Maendeleo ya Uchumi Kusini Mwa Afrika SADC Dkt.Tomaz Salomao mjini Cape Town Afrika ya Kusini leo wakati wa kikao cha kamati hiyo.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mwenyeji wake Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini wakitoka katika ukumbi wa hoteli ya Westin jijini Cape Town Afrika ya Kusini mara baada ya kumalizika kwa kikao maalum cha Kamati ya Ulinzi na Usalma ya SADc kilichofanyika leo.Rais Kikwete alikuwa nchini Afrika ya Kusini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mkurugenzi Mtendaji na mratibu wa asasi ya Bill and Melinda Gates Foundation Bwana Mark Suzman jijini Cape Town Afrika ya Kusini.Kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo Adam Malima.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagana na Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Misaada la Marekani USAID Dkt. Rajiv Shah muda mfupi baada ya kufanya naye mazungumzo katika ukumbi wa Cape Town Convention Centre jana.Picha na Freddy Maro.

CLOUDS MEDIA GROUP YAZINDUA MSIMU WAKE MPYA KWA KISHINDO MJINI DODOMA LEO, YAFANYA SEMINA DHIDI YA UHARAMIA WA KAZI ZA WASANII

$
0
0

Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh Zitto Kabwe ambae pia ni mdau kubwa wa Muziki hapa chnini,pia alikuwa ni mmoja wa wazungumzaji kwenye semini hiyo iliyohusu na  harakati rasmi za vita dhidi ya uharamia wa kazi za wasanii,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa hoteli ya African Dreams,nje kidogo ya mji wa Dodoma. Kutakuwepo na kampeni ya matembezi ya hisani ya harakati rasmi za vita dhidi ya uharamia wa kazi za wasanii yatakayofanyika kesho,wabunifu na wavumbuzi mbalimbali, mseto wa shuguli mbalimbali zitahusishwa.  Aidha pia mchana huu kutakuwepo na burudani hadhara ya sanaa za kisasa na za kitamaduni,mpira, chakula na bidhaa mbalimbali za kitanzania katika uwanja wa jamhuri .


Mmoja wa wasemaji kwenye semina hiyo aliyejitambulisha kwa jina la Patrick Ngowi  kutoka kampuni ya Helvetic Solar Contractors, akizungumzia fursa mbalimbali kuhusiana na mambo ya ujasiliamali na pia alielezea ni namna gani amefanikiwa mpaka kufikia kumilimiki lampuni yake binafsi kupitia fursa alizokuwa akikumna na nazo na kuzifanyia kazi vilivyo.

Mmoja wa washiriki wa semina hiyo akiuliza swali kwa Mh Zitto Kabwa kuhusiana na mambo mbalimbali ya ujasiliamali na namna ya kuzitumia fursa hizo katika kujikwamua kimaisha.

Mh Zitto kabwe akimsikiliza mmoja wa washiriki wa semina hiyo alipokuwa akiulizwa kuhusiana na suala la fursa zinazopatikana kwa vijana na namna ya kuzitumia katika ujumla wa kujikwamua na ugumu maisha,ambapo watanzania wengi wamekuwa wakizilalamikia.

Mtangazaji wa clouds FM kupitia kipindi cha Power Breakfast-Gerald Hando akiikaribisha Meza kuu pamoja na wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye uzinduzi wa msimu mpya wa Clouds Media Group unaokwenda sambamba na ujumbe wao thabiti kabisa  ulioitwa MADE IN TANZANIA,ikiwa na hamasa kubwa ya kuleta msingi wa fursa kwa watanzania, msukumo ikiwa ni kuwashawishi watanzania kuanza kuzifanyia kazi fursa hizi kwa umoja na maendeleo ambapo TWENZETU, inakuwa neno rasmi la mawasiliano.Kama vile haitoshi kutakuwepo na kampeni ya matembezi ya hisani ya harakati rasmi za vita dhidi ya uharamia wa kazi za wasanii yatakayofanyika kesho,wabunifu na wavumbuzi mbalimbali, mseto wa shuguli mbalimbali zitahusishwa  ikiwemo semina ya fursa kwa watanzania,burudani hadhara ya sanaa za kisasa na za kitamaduni,mpira, chakula na bidhaa mbalimbali za kitanzania zitapatikana uwanja wa jamhuri mapema leo mchana.


Mmoja wa wasemaji kwenye semina hiyo aliyejitambulisha kwa jina la Zenno  Ngowi kutoka kampuni ya Tanzania Home Expo akizungumzia fursa mbalimbali kuhusiana na mambo ya ardhi,ujenzi,na mengineyo mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliohudhuria kwenye semina hiyo leo mjini Dodoma.



Mmoja wa wasanii mahiri wa Mashairi,Mrisho Mpoto akifafanua jambo kuhusiana na mambo mbalimbali katika suala zima la wasanii kujipa nafasi ya Fursa mbalimbali zinazojitokeza mbele yao na namna ya kuzifanyia kazi na kuziboresha zaidi.

Mhe Zitto Kabwe akiwasili kwenye semina hiyo mapema leo,ambaye pia alikuwa ni mmoja wa wasemaji wa semina hiyo.

Pichani ni washiriki wa semina hiyo kutoka sehemu mbalimbali mjini Dodoma leo.

Baadhi ya washiriki wakifuatilia jambo kwenye semena iliyokuwa ikiendelea mapem leo kwenye hoteli ya African Dreamz,nje kidogo ya mji wa Dodoma.

Mtangazaji wa Clouds FM,Loveness Love a.k.a Diva akijitambulisha kwenye semina hiyo

Mtangazaji wa Clouds FM,Shaffih Dauda akijitambulisha kwenye semina hiyo.

Wadau wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye semina hiyo iliyoibua changamoto nyingi.

Kutoka Clouds FM,Millard Ayo,Dina Marios pamoja na Zamarad wakifuatilia jambo

Mtangazaji wa Clouds FM,Arnold Kayanda Diva akijitambulisha mbele ya washiriki waliofika kwenye semina hiyo.

Baadhi ya wasanii wakiwa ndani ya semina hiyo katika harakati rasmi za vita dhidi ya uharamia wa kazi zao,ambapo matembezi ya hisani yamepangwa kufanyika kesho na Waziri Mkuu Mh.Pinda anatarajiwa kuyapokea matembezi hayo.


Msanii Afande Sele na Msanii mwenzake wakiwa ndani ya semina hiyo wakifuatilia yaliyokuwa yakizungumzwa.

Mtangazaji wa Kipindi cha jahazi,Mussa Hussein akijitambulisha.

Mtangazaji wa Clouds FM,B Dozen akijitambulisha

Mbwiga Mbwiguke nae kama kawa akijitambulisha kwa washiriki wa semina hiyo.

Zamarad Mketena akijitambulisha pia.

Said Falla akichangia hoja.



Suzzy Bartazar akijitambulisha.

PICHA: G SENGO

WIGANA BINGWA MPYA FA.. YAIBANJUA MANCITY 1–0 KATIKA FAINALI ILIYOPIGWA WEMBLEY JIONI HII

$
0
0
BAO la Ben Watson katika dakika ya mwisho kabisa jioni hii limeipa Wigan ubingwa wa Kombe la FA kwa mara ya kwanza kabisa ikiichapa Manchester City 1-0 kwenye Uwanja wa Wembley.

Nyota huyo aliyetokea benchi alifunga kwa kichwa akiunganisha kona na kuwa shujaa wa mashabiki wa Wigan na kumfanya Roberto Mancini arejee nyumbani mikono mitupu.

Man City ilimaliza pungufu ya mchezaji mmoja baada ya Zabaleta kutolewa nje kwa kadi nyekundu daika ya 84.

Katika mchezo huo, kikosi cha Man City kilikuwa: Hart, Zabaleta, Kompany, Nastasic, Clichy, Silva, Toure , Barry/Dzeko dk90, Nasri/Milner dk54, Aguero na Tevez/Rodwell dk69.

Wigan: Robles, Boyce, Scharner, Alcaraz, Espinoza, McCarthy, McArthur, Gomez/Watson dk81, McManaman, Kone na Maloney.

Delight: Ben Watson headed home in the last minute as Wigan wont heir first ever FA Cup in dramatic style

Rahaaa: Ben Watson akishangilia bao lake la ubingwa wa FA

Despairing: Joe Hart couldn't keep Watson's header out as Wigan won their first ever major trophy

Joe Hart akiruka bila mafanikio

Borrowed time: Mancini is set for a Manchester City exit with Malaga's Manuel Pelligrini lined up to take over

Mancini sasa anaweza kutimuliwa Manchester City akimpisha kocha wa Malaga, Manuel Pelligrini

Head in hands: Sergio Aguero reacts to a missed chance for Manchester City

Sergio Aguero akijutia kupoteza nafasi ya kufunga

Battle: City midfielder Yaya Toure is tackled by Wigan's Paul Scharner

Kiungo wa City, Yaya Toure akikabiliana na Paul Scharner wa Wigan

Decisions: Both managers issue instructions to their team during the match

Refa mudaa: makocha wote walikuwa bize leo

Routine: The Wigan team huddle up on the pitch just prior to kick off at Wembley

Dua iliyopokewa: Wachezaji wa Wigan wakiomba dua kabla ya mechi

In the spirit: A Manchester City fan enjoys himself before the match

Shabiki wa Manchester City akifurahia na Kombe bandia kabla ya mechi

Support: Two Manchester City fans wear Mancini masks at Wembley

Mashabiki wawili wa Manchester City wakiwa wamevaa sura bandia za Mancini leo Wembley

Special delivery: The trophy is brought out into the stadium

Kombe la FA likiwasilishwa uwanjani

CREDIT: BIN ZUBEIRY BLOG

Temporary Post Used For Theme Detection (ac70372a-4c6a-4f7f-bc99-9dc22375f1da - 3bfe001a-32de-4114-a6b4-4005b770f6d7)

$
0
0

This is a temporary post that was not deleted. Please delete this manually. (317f0df3-3859-4aae-995d-1f05add71a25 - 3bfe001a-32de-4114-a6b4-4005b770f6d7)

YALIYOANDIKWA NA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MEI 12, 3013

Viongozi wanapogongana Ziarani - Mbowe na Ole Medeye Uso kwa Uso Bomang’ombe

$
0
0


photoMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe akisalimiana na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye. Viongozi hao walikutana juzi eneo la Bomang'ombe, wilayani Hai, kila mtu akiwa katika ziara yake. Wakati Mbowe alikuwa anaendelea na ziara ya kuzungukia wananchi katika vijiji mbalimbali jimboni kwake Hai, Medeye alikuwa katika ziara yake binafsi maeneo ya jimbo hilo. Picha na Tumaini Makene

HATIMAYE MANCHESTER UNITED WAKABIDHIWA KOMBE LAO JIONI YA LEO – PICHA ZA SHANGWE

$
0
0
 Manchester United

Robin van Persie

 

Your turn: Ferguson hands the trophy over to his players before he gets covered in champagne

Ferguson hands the trophy over to his players before he gets covered in champagne

Man in the middle: no surprises that Ferguson was centre of attention at the presentation

 

Let's get this party started: Sir Alex Ferguson lifts his 13th and final Premier League trophy

Sir Alex Ferguson lifts his 13th and final Premier League trophy


Rooney

What a line-up: United players wait for the trophy presentation by lapping up the cheers

United players wait for the trophy presentation by lapping up the cheers. Picha na mitandao ya Kimataifa


Meza ya Magazeti leo Jumatatu Mei 13, 2013 na Mjengwa Blog

CHADEMA ndicho chama tawala Tanzania mwaka 2015

$
0
0
 

Mimi ni Mtanzania kwa kuzaliwa, nimezaliwa, kukua, kusoma na kuishi Tanzania huku kwa umri wangu mdogo nikishuhudia mambo mengi yanatendeka katika Taifa letu lijulikanalo kama Taifa lenye amani Duniani kote.Huku tukihubiri amani, dhana yenyewe amani inaonekana kutofahamika kwa watanzania walio wengi; amani wakati watu wanakufa njaa; amani wakati raslimali za Taifa zinataifishwa na watu waliopewa dhamana ya kuzilinda na kuzipeleka nje kwa manufaa yao; amani wakati wananchi walio wengi wanashindwa kusomesha watoto wao shule nzuri; amani wakati vyombo vya ulinzi na usalama vinatumiwa na watawala wa kisiasa kuzima sauti za wananchi kwa kuwazuia kufanya mikutano , maandamano na hoja zenye maslahi kwa Taifa.

Yapo mambo mengi sana yanayoendelea kufanyika katika Taifa letu kupitia mgongo wa kuwadanganya watanzania eti ni nchi ya amani huku wachache wakitumia turufu hii ya tulinde na kudumisha amani ya Tanzania wakionekana wazi kabisa kuwa kujinufaisha na raslimali zetu tena bila huruma.

Nimezichambua sera za Chama tawala kwa hivi sasa Tanzania, utekelezaji wa sera hizo, muelekeo wa chama hicho, aina ya viongozi wanaoendelea kukiongoza na wanaoteuliwa kupewa nyadhifa mbalimbali nikagundua kuwa chama tawala Tanzania kilichopo kwa sasa mwisho wake huenda ni 2015 na kinawezakana kisiongoze hata kambi ya upinzani Bungeni.

Lakini pia nimechambua sera, utekelezaji na uwajibikaji, aina ya viongozi na namna viongozi wanavyowajibika kwa maslahi ya wananchi kwa kuvichunguza vyama vya upinzani vilivyoko hapa Tanzania na kugundua kuwa tayari vyama vingine vimebeba kofia ya upinzani lakini si vyama vya upinzani hata kidogo.Mfano, CUF ni chama ambacho kimeunda serikali ya mseto huko Tanzania visiwani lakini eti kikija huku Bara ni chama ya upinzani, katibu wake mkuu ndiye makamu wa Rais Zanzibar kwa maana hiyo huku Bara kikijadiri jambo kama chama cha upinzani basi habari na mikakati yote lazima awe nayo mh.makamu wa Rais huko Zanzibar.Kwa maana hiyo tayari kimepoteza taswira,lakini chama hiki kiliwahi kushika mashiko katika nchi hii kabla ya ccm kukishikilia bango kuwa ni chama cha waislamu na magaidi hivyo kukidhoofisha kabisa. NCCR-MAGEUZI nacho ni chama kilichoonekana kuwa na machachari kidogo chini yake Mh.James Mbatia kama mwenyekiti na kuwa na wabunge ambao kimsingi tunawaona wakijali maslahi ya Taifa lakini kitendo cha Mh.James Mbatia kuteuliwa mbunge la Rais wa ccm kilimuondolea baadhi ya element licha ya kwamba mh.Mbatia ni mtu anayeonekana kuwa na uzalendo wa Taifa hili mbali na itikadi za vyama na mambo mengine.Tunfahamu kazi nzuri anayofanya bwana Mbatia bungeni na hata nje ya Bunge ila tunashuhudia baadhi ya hoja zake zikikejeliwa na wabunge hata mawaziri wa ccm kwa kuwa na dhana ya kuwa kateuliwa na Rais ambaye ndiye mwenyekiti wa ccm.Mfano siku moja waziri alikuwa akijibu swali la mh.Mbatia bungeni na kusema,'mh.Spika, naomba kujibu swali la mh.James Mbatia, mbunge aliyeteuliwa na Rais wetu na mwenyekiti wetu wa ccm kama ifuatavyo'.Maelezo ya waziri huyu ilikuwa ni kumdisvalue bwana Mbati.

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO(CHADEMA) ndicho chama pekee cha upinzani kilichobakia Tanzania kwa hivi sasa na ndicho chama kinachoonekana kukubalika zaidi kwa wananchi kila uchwao.Chama hiki kinazo sera, mikakati ya kuongoza nchi na viongozi wanaokubalika katika jamii wanaojulikana kama watetezi wa wanyonge na ndio maana mikutano ama maandamano yoyote yanayoitishwa na CHADEMA lazima wananchi waitikie kwa nguvu zao zote hata michango wananchi hukichangia chama hiki bila hiyana yoyote huku wakiwa na imani kabisa myoyoni mwao kuwa chama hiki chaweza kuwaletea matumani yao yaliyopotea.Ni kwa kufahamu hili cham cha mapinduzi chama hiki cha CHADEMA wanakiona sumu kwao, tishio kuliko maelezo, kinakubalika kuliko chenyewe chama tawala, kinaendelea kupewa misaada kutoka ndani na nje; ni kwa kufahamu hilo ndipo hujuma mbalimbali zilianza kutolewa kwa CHADEMA kwamba ni chama cha kikabila yaani wachaga(hoja iliishiwa nguvu), kuwa ni chama cha udini(hoja ilipuuzwa), ni chama cha marafiki(hoja iliishiwa mashiko), ni cham cha magaidi (HOJA ILIYOSHIKILIWA BANGO NA MAKADA WA CCM KAMA KETE YAO YA KUKIMALIZA CHADEMA, LAKINI WAMEANGUKIA PUA NA SASA VINYWA VYAO NVI WAZI WANADUWAA WAFANYE NINI MAANA CHAMA CHAO KINAWAFIA MIKONONI).

Ni kwa nini chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) kinapewa kete ya kutawala nchi hii 2015? Hoja ni nyingi mno na sababu ziko wazi kabisa.Hii ni kutokana na Watanzania kuchoshwa na dhuluma za viongozi wa ccm na serikali kwa ujumla kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kuwaletea maendeleo na kuanza kujinufaisha wao wenyewe na vizazi vyao.BAADHI YA MAMBO AMBAYO YANAWADSIVALUE CCM NA KUWAVALUE CHADEMA NI KAMA IFUTATAVYO:

1.UCHAGUZI WA SPIKA WA BAADA YA CHAGUZI MKUU WA 2010.

Hakuna mtanzania ambaye hakuona dhuluma iliyofanyika ya kumuondoa mh.Sitta kugombea Uspika.Hizi zilikuwa ni mbinu chafu zilizofanywa na viongozi wa ccm wa juu na serikali kuhakikisha kuwa Bwana Sita hapati uspika maana alionekana kucheza kete zake vizuri bungeni kwa kuwapa haki sawa wabunge kujenga hoja huku wapinzani wakionekana kuichachafya serikali hadi kufikia kuiwajibisha pale waziri mkuu kwa wakti huo Mh.Lowasaa alipolazimika kujiuzulu kwa kashfa ya RICHMOND. Hivyo walilazimika kuweka mtu ambaye atakahikisha kuwa analinda cham tawala kwa kuwaziba midomo wapinzani na hii ndiyo tunashuhudia maana Anna Makinda na Timu yake ya kina Ndugai inaonekana wazi namna inavyolinda serikali na ccm badala ya kufanya kazi ya kuwatumikia watanzani kuhakikisha wanaisimamia serikali.Wabunge wa ccm sasa hivi wanafanya kazi ya kuijibia hoja serikali na kuishauri, wajibu ambao ni wa mawaziri.Pale wapinzani wanapochachamaa juu ya serikali kutotimiza wajibu wake kwa wananchi tumeshuhudia wakipewa rungu kali na kiti cha spika, mambo haya huwapa credit CHADEMA huku nje ya Bunge kwa kutathmini kazi nzuri wanayofanya.

2.SERA YA CCM YA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.

Baada ya serikali ya ccm kuingia madarakani kwa kete ya kuleta maisha bora kwa kila mtanzania, sasa imebainika kuwa ccm walikuwa wanomba kuingia madarakni ili kuleta maisha duni kwa kila mtanzania.Badala ya maisha bora kwa kila mtanzani kwa hivi sasa maisha yamekuwa magumu kuliko hata ya miaka iliyotangulia.Viongozi wa serikali na ccm wanashuhudiwa waziwazi wakijihusisha na vitendo vya ufisadi vya kuhujumu Taifa, wengine wanafanya biashara ya meno ya Tembo huko ulaya bila Taifa kunufaika na chochote(Mfano kwa mujibu wa hotuba ya kambi ya upinzani iliyowasilishwa na waziri kivuli mh.Mchungaji Msigwa ilimtuhumu Kinana ambaye ni katibu wa ccm Taifa kuhusika na ujangili wa nyara za Taifa letu huku serikali ikitoa majibu mepesi). Watanzania wanaona na wamechoka sana kuendelea kukitumika ccm na ndio maana wako tayari kukiweka CHADEMA madarakani 2015.

3.MATUMIZI MABAYA YA VYOMBO VYA DOLA.

Hili ni suala ambalo limekera si watanzania tu bali hata watu wa Mataifa ya nje.Tanzania inayomatumizi mabaya ya vyombo vya kwani tumeshihudia vyombo vya ulinzi na usalama vikifanya kazi ya kukilinda ccm kwa hali yoyote ile kwa kuwadhibiti wapinzani na wananchi kwa ujumla wasijumuike kujadili mambo ambayo yanahusu mustakabali wa Taifa letu.Vyombo hivyo vimefikia hatua ya kukiuka haki za binadamu kwa kuwaua baadhi ya watu wasio na hati Mf. maauji ya huko Arusha, Morogoro, MWANDISHI WA Habari MAREHEMU MWANGOSI ambaye aliuawa na jeshi la polisi kule Nyororo bila huruma huku tukio hilo likishuhudiwa na kamanda nduli na fashist KAMUHANDA wa mkoa wa Iringa huku serikali ya ccm ikijigamba kupitia kwa waziri wa mambo ya ndani Bwana NCHIMBI na waziri LUKUVI kuwa kamanda KAMUHANDA ni kiongozi shupavu anastahili pongezi kwa kuwadhibiti wapinzani kufanya mikutano.Watanzania walifadhaishwa na kifo cha Mwangosi na utekaji na utesaji wa mwenyekiti wa madaktari Dr.Ulimboka ambaye aliteswa sana lakini alipopata nafuu aliwataja wahusika wakiongozwa na maoisa wa IKULU ya Kikwete huku serikali ikibaki kimya juu ya Unyama huo.Watanzania wamekasirishwa na hali hiyo ya vyombo vya dola kuendelea kuwaziba midomo watu wanaoikosoa serikali ili kuhakikisha ccm kinaendelea kutawala hata kwa mabavu, wananchi wameamua 2015 CHADEMA ndicho chama kitachoongoza taifa hili ili kuliletea ukombozi dhidi ya watu wanaoendelea manyanyaso kwa raia wake tena bila huruma.

4.RAIA KUBAMBIKIZWA KESI NA VIONGOZI WA SERIKALI.

Serikali mahali popote pale ilipo duniani lengo lake ni kulinda utu, mali na haki za kila raia wake.Hali hii ni tofauti kabisa kwa Tanzania maana wimbi la viongozi wa serikali wakisaidiwa na vyombo vya dola la kuwabambikizia kesi za mauaji, ugaidi, ubakaji, rushwa tena kwa manufaa ya ccm limeshamiri.Waziri Nchimbi alilazimika kuwaondoa madarakani baadhi ya polisi waliokuwa wakiwabambikizia kesi wananchi kwa makosa ambayo hawajanfanya ili kujinufaisha lakini waziri hajua kwamba huo ni mtandao mrefu yani kuanzia chini mpaka juu serkali hivyo bado tatizo linaendelea.Mkurugenzi wa Ulinzi na usalam wa CHADEMA Mh.Lwakatare alibambikiziwa kesi ya UGAIDI na mafisadi wa ccm wakiongozwa na Mwigulu njemba ambaye anajifanya mzalendo kumbe ni fisadi mkubwa sana katika Taifa let kwa kuendesha siasa za kipumbavu ambazo hazina tija kwa Taifa letu.Ukweli umebainika Lwakate makosa ya Ugaidi kafutiwa na mahakama huku vyombo vya usalama ambavyo vilifanya kazi kubwa kuandaa ushahidi wa kupika wakihaibika.Vilevile baadhi ya polisi Morogoro wanashikiliwa wakiwa na kichwa cha binadamu ambacho walikuwa wanakwenda kumbambikizia mfanyabishara mmoja ili wamuombe rushwa kwamba wamemkata na kicha cha mtu mungu alisaidia wakatiwa mbaroni.Hali ni mbaya sana kama viongozi walinda amani ndio wanafanya uharamia huu wananchi wakimbilie wapi tofauti na kuiondoa serikali ambayo imeshindwa kuwajibika wa raia? CHADEMA NDO MBADALA 2015 kuondoa dhuluma hizi.

5.RUSHWA ILIYOKITHIRI, HUDUMA MBOVU ZA KIJAMIINA MIPANGO ISIYOTEKELEZEKA NA KUONGEZA UMASKINI.

Katika zama hizi za serikali inayoongozwa na ccm suala la Rushwa limeishaonekana kuwa ni huduma maana hata wabunge wa ccm walishataka kupisha sheria eti ni takrima.Huwezi kupata huduma popote pale mpaka utobolewe mifuko yako,Vituo vya polisi, mahakamani, mahospitalini ,mashuleni, maofisini rukshwa imeshamiri na hakuna juhudi za makusudu kukomesha tatizo maana hata TAKUKURU ni wala rushwa wakubwa sana.

Elimu yetu imeishaonekana si chochote wa lolote.Wanafunzi wamefanya mitihani kidato cha nne zaidi ya nusu walipata 0 baadaye serikali ya ccm kifuta matokeo na kuanza kuchakachuaa matokeo mapya hivi sasa tunasubiri uchakachuzi huo ukamilike tuone jipya ni lipi, swali ni je hata mwaka kesho watachakachua?

Kimsingi mambo ni mengi LAKINI KIKUBWA NI KWAMBA WANANCHI WAMEISHAJIPANGA 2015 LKUKIWEKA MADARAKANI CHADEMA ILI KUNUSURU TAIFA HILI NA HAWA WAFEDHURI WACHAHCHE.


Imeandikwa na Jose Kasano

Chanzo: Kong’oli Hapa

BARCELONA YASHEREHEKEA TAJI KWA KUIFUNGA ATLETICO MADRID 2-1

$
0
0

barca2 47012

Nyota wa zamani wa Arsenal, Cesc Fabregas na Alex Song wakishangilia kwenye chumba cha kubadilishia nguo cha Barcelona

barca1 d6d78

Wachezaji wa Barcelona wakishangilia taji la La Liga

barca 2f88c

Alexis Sanchez alifunga bao la ushindi baada ya Lionel Messi kutoka

barca3 758e9

Radamel Falcao akishangilia bao lake

PAMOJA na kwamba Lionel Messi alishindwa kucheza jana kutokana na kusumbuliwa na maumivu, lakini haikuzuia Barcelona kushinda 2-1 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana na kushangilia taji la 22 la Ligi Kuu Hispania. 

Messi alianza katika mechi ya kwanza ndani ya raundi sita kwa sababu ya kusumbuliwa na maumivu ya nyama za paja la kulia, lakini akaondoka uwanjani dakika ya 68 Barcelona ikiwa nyuma kwa bao 1-0 lililofungwa na Radamel Falcao dakika ya 52 na Barca ikakamilisha wachezaji wote watatu wa kubadilisha. 

Hata hivyo, Alexis Sanchez akasawazisha dakika ya 72 na kiungo wa Atletico, Gabi Fernandez akajifunga dakika ya 80 hivyo kuamsha pati la ubingwa kwa Barcelona, wakiivua rasmi ubingwa Real Madrid. 

Mapema siku hiyo, Valencia ilijiongezea matumaini ya kucheza Ligi ya Mabingwa kwa ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Rayo Vallecano.

Roberto Soldado alifunga mabao mawili kabla ya mapumziko, wakati Andres Guardado na Nelson Valdez wakakamilisha karamu ya mabao kipindi cha pili.

Huo ulikuwa ushindi wa pili mfululizo wa 4-0 kwa Valencia  na unamaanisha timu ya Ernesto Valverde inaizidi kwa pointi moja Real Sociedad, ambayo leo itakuwa mwenyeji wa Granada.

Malaga na Sevilla zote zina nafasi ya kucheza michuano ya Ulaya baada ya sare ya bila kufungana uwanja wa La Rosaleda.

Stori na Picha kwa msaada wa Jackson Audiface Blog

MTUHUMIWA WA UGAIDI ARUSHA AFIKISHWA KIZIMBANI CHINI YA ULINZI MKALI, WANNE RAIA WA KIGENI WAACHIWA

$
0
0
mlipuko kanisani OlasitiMtuhumiwa wa kurusha Bomu kwenye Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph,Parokia ya Olasiti ,Jimbo Kuu la Arusha,Victor Ambrose Calist amefikishwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la Polisi kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ,mbele ya Hakimu Mkazi,Devota Kamuzora leo.


Ambrose amesomewa mashtaka 21 ya kuua na kujaribu kuua wakati wa uzinduzi wa kanisa hilo ambao mgeni rasmi alikua Balozi wa Vatican nchini,Askofu Mkuu,Fransisco Padilla ambaye alikuwa na mwenyeji wake Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Arusha,Josephat Lebulu.

Katika hatua nyingine Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha,Liberatus Sabas amesema kuwa watuhumiwa watatu raia wa United Arab Emirates(UAE)Abdul Aziz Mubrak(30)ambaye ni mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato ,Fouad Saleem Ahmed Hareez Al Mahri(29)Saeed Abdulla Saad(28)ambaye ni askari Polisi na raia mmoja wa Saudia Arabia,Al Mahri Saeed Mohseens(29)

Sabas amesema watuhumiwa wengine bado wanahojiwa kuona namna gani wanahusika na kitendo hicho cha kigaidi.

Na mwandishi maalum kupitia Rweyemamu Info Blog, Picha na Woinde Shizza


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSIANA NA MAENDELEO YA UPELELEZI WA TUKIO LA MLIPUKO WA BOMU KATIKA KANISA LA MT. JOSEPH – OLASITI JIJINI ARUSHA LILILOTOKEA TAREHE 05/05/2013

Ndugu wanahabari, mtakumbuka kwamba mara ya mwisho nilipokutana nanyi niliwaahidi kwamba nitaendelea kuwapa mara kwa mara taarifa juu ta maendeleo ya upelelezi wa tukio la mlipuko wa bomu lililotokea katika kanisa katoliki la mtakatifu joseph mfanyakazi parokia ya olasiti tarehe 05/05/2013 na kusababisha vifo vya watu watatu(3) na wengine kudhaa kujeruhiwa.

Kama nilivyowaeleza hapo awali, baada ya tukio hilo jumla ya watuhumiwa tisa(9) walikamatwa na kuhojiwa kuhusiana na tukio hilo la mlipuko wa bomu kanisani. Watuhumiwa haoa ni victor Ambros Kalist, (20), dereva wa bodaboda na mkazi wa kwa Morombo; Yusuph Lomayani Josee (18) mwendesha bodaboda mkazi wa kwa Morombo na George Bathlomeo Silayo (23) mfanyabiashara na mkazi wa Olasiti.

Watuhumiwa wengine waliokamatwa ni raia watatu toka nchi za falme za kiaruabu (UAE) Abdul Aziz Mubrak (30) mfanyakazi wa mamlaka ya mapato katika falme za kiarabu, Fouad Saleem Ahmed Al Hareez Al Mahri (29) mfanyakazi wa kikosi cha zimamoto katika Falme za Kiarabu, Saeed Abdulla Saad (28) askali polisikitengo cha traffic katika falme za Kiarabu, pamoja na raia mmoja wa Saudi Arabia Al-Mahri Saeed Mohseens (29)

Rai hao wa kigeni walikamatwa pamoja na wenyeji wao wawili ambao ni raia wa tanzania wenye asili ya Yemen.  Majina ya watanzania hao ni Mohamed Suleiman Saad, (38) mkazi wa ilala jijini Dar es Salaam na Jasm Mubarak (29) mkaazi wa mtaa wa Bondeni jijini Arusha.

Uchunguzi wa kina uliofanywa na timu ya upelelezi ukihusisha taaasis nyingine za upelelezi FBI pamoja na INTERPOL kuhusiana na tukio hilo la mlipuko wa bomu kanisani umebaini kuwa raia hao wanne wa kigeni hawakuhusika katika shambulio hilo.

Baada ya jalada la tukio hilo kufikishwa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali Arusha – divisheni ya mashtaka imeelekeza kuwa watuhumiwa hao wakabidhiwe ofisi za idara ya uhamiaji mkoa wa arusha ili kuona kama kuna taratibu zozote za kiuhamiaji ziikiukwa na wageni hao wakati walipoingia nchini ili hatua stahili ziweze kuchukuliwa dhidi yao. 

Pia ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali imeandaa mashitaka dhidi ya victor S/O Ambros kalisti na amefikishwa mahakamani leo kwa tuhuma za mauaji na kujaribu kuua. Uchunguzi dhidi ya watuhumiwa waliosalia unaendelea kwa sasa tunao wataalamu kutoka kenya na Uganda ambao tunashirikiana nao katika upelelezi wa shauri hilo.

Aidha, hadi sasa idadi ya majeruhi wa tukio hilo la mlipuko wa bomu wanaoendelea kupata matatibabu katika hospitali mbalimbali ni 31 ambao kati yao 19 wanaendelea na matibabu katika hospitali ya mkoa mount Meru arusha, 4 katika hospitali ya St. Elizabeth arusha na wengine 8 katika hospitali ya taifa muhimbili jijini dar es salaam na taarifa zinaonyesha hali zao zinaendelea kuimarika.

Hata hivyo jeshi la polisi linaendelea kufuatilia taarifa za watuhumiwa wengine wanaohusishwa na tukio hilo ili waweze kukamatwa na kufikishwa mahakamani pia jeshi la polisi linaendelea kuwaomba wananchi au raiayeyote mwenye taarifa zitakazowezesha kubaini mtandao wa kigaidi nawatuhumiwa wengine wanaohusika na tukio hilo wajitokeze na kuwasilisha taarifa hizo; tayari mkuu wa jeshi la polisi (IGP) amekwishaahidi zawadi nono ya Tshs. 50,000,000/= kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa hizo za siri kwa kukamatwa kwa watu hao.

ASANTENI KWA KUNISIKILIZA.

IMETOLEWA NA KAMANDA WA POLISI MKOA WA ARUSHA

LIBERATUSI SABAS – ACP

TAREHE 13/05/2013.

TASWIRA: MATEMBEZI YA MSHIKAMANO YA CLOUDS MADE IN TANZANIA KUPINGA UHARAMIA WA KAZI ZA SANAA MJINI DODOMA.

$
0
0

Baadhi Wadau wa Muziki na Filamu wakiwa na mabango yao yaliyobeba jumbe mbalimbali mapema leo kwenye Matembezi ya mshikamano ya kuitaka Serikali iendelee kuzilinda fursa zilizopo na pia kuendelea kuutanua wigo wa upatikanaji wa fursa hizo kwa wasanii na vijana wenyewe,ikiwa sambamba na kupinga uwizi/uharamia wa kazi za sanaa hapa nchini,yaliyoanzia kwenye uwanja wa Jamhuri na kufikia tamati viwanja vya Nyerere Skwea


Baadhi ya Wasanii wa Filamu hapa nchini Wema Sepetu sambamba na shosti yake Kajala walikuwa ni miongoni mwa wasaani waliounga mkono matembezi hayo ya mshikamano yaliyokuwa yametawaliwa pia na mabango kadhaa yaliyobeba jumbe mbalimbali za kupinga wizi wa kazi sanaa.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Dkt.Rehema Nchimbi akiwakaribisha watu wote waliofika kwenye viwanja vya Nyerere Skwea,tayari kwa kumpokea mgeni rasmi,Waziri Mkuu Pinda.

Baadhi ya magari yakiwa yamesimama yakipisha matembezi ya mshikamano yaliyokuwa yakielekea kwenye viwanja vya Nyerere Skwea mapema leo mchana.


Baadhi ya Watangazaji wa clouds FM,sambamba na wasanii wa muziki wa kizazi kipya/tasnia ya filamu na wadau wengine wa sanaa wakiwa wamejumuika kwa pamoja kwenye viwanja vya Nyerere Skwea mapema leo mchana,tayari kwa kumpokea mgeni rasmi,Mh Waziri Mkuu Pinda.

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na Mdau mkubwa wa sanaa hapa nchini,Mh.Idd Azan akiunga mkono harakati za kupapambana na maharamia wa kazi za sanaa hapa nchini

Gari ya Waziri Mkuu Pinda ikiwasili

Waziri Mkuu Pinda akisalimiana na Naibu Waziri wa Habari,Vijana, michezo na Utamaduni,Mh.Amos Makala habari,Michezo mara alipokuwa akiwasili kwenye viwanja vya Nyerere Skwea mapema leo mchana mjini Dodoma. 

Waziri Mkuu Pinda akisalimiana na Mkurugenzi wa Vipindi na utafiti wa Clouds Media Group,Ruge Mutahaba mara alipokuwa akiwasili kwenye viwanja vya Nyerere Skwea mapema leo mchana mjini Dodoma.

Mmoja wa Watangazaji wa kipindi cha Jahazi,Wasi Wasi Mwambulambo akiserebuka na Mh.Rehema Nchimbi.

Pichani kati ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.Rehema Nchimbi,kulia mtangazaji wa Clouds FM Mbwiga Mbwiguke na Shaffih Dauda (shoto) wakitwibiwirika kwa pamoja mapema leo mchana mjini Dodoma kwenye viwanja vya Nyerere skwea.

Waziri Mkuu Pinda akiwa katika picha ya pamoja na na baadhi ya Watangazaji wa Clouds FM (wote waliosimama nyuma).Reedio Clouds FM imezindua msimu wake mpya ulioitwa TWENZETU  kwa minajili ya kuielimisha jamii  kuwa na tabia ya kupenda vya kwao na  kutumia fursa walizonazo ndani ya MADE IN TANZANIA kujikwamua kimaisha.

CREDIT: BOSS NGASSA WA DODOMA

Roberto Mancini sacked as Manchester City manager

$
0
0

Roberto Mancini of Manchester City

Roberto Mancini has been sacked as Manchester City manager after three-and-a-half years at the helm. A statement said  he "had failed to achieve any of the club's targets, with the exception of qualification for next season's Champions League".

Best Premier League win percentage (20+ matches)


Games Won Win %
Jose Mourinho
120
85
70.83
Sir Alex Ferguson
809
528
65.27
Carlo Ancelotti
76
48
63.16
Roberto Mancini
133
82
61.65
Arsene Wenger
636
366
57.55
Rafael Benitez
253
140
55.34
Source: Opta

Assistant Brian Kidd will take charge for the final two games of the season and the summer tour to America. Malaga's Chilean coach Manuel Pellegrini has been strongly tipped to replace Mancini.
 
On Sunday night 59-year-old Pellegrini, who spent one season in charge at Real Madrid in 2009-10, insisted he was not about to become the new City boss.
"I deny here and now being the new coach of Manchester City, I haven't signed any agreement with anybody," he said after Malaga's goalless Primera Division draw with Sevilla.
 
City thanked Mancini for the job he had done, with chairman Khaldoon Al Mubarak saying: "Roberto's record speaks for itself, he secured the love and respect of fans.
 
"He has done as he promised and delivered silverware and success."
City added in their statement that it was "a difficult decision", explaining it was "the outcome of a planned end of season review process that has been brought forward in light of recent speculation."
 
The 48-year-old Italian replaced Mark Hughes in December 2009, winning the FA Cup in 2011 and City's first top-flight league title for 44 years in 2012 - a year to the day before his sacking.

Roberto Mancini record

But this term, City are a distant second to champions Manchester United, went out in the Champions League group stages and lost the FA Cup final to Wigan.
 
However, besides on-the-field performance, the club's statement also suggested that there were other reasons to make the change.
 
The statement said: "[Failure to achieve targets] combined with an identified need to develop a holistic approach to all aspects of football at the club, has meant that the decision has been taken to find a new manager for the 2013-14 season and beyond."
 
BBC Radio 5 live senior football reporter Ian Dennis said that the reference to the 'holistic approach' of the club was crucial to Mancini's departure.
 
"What has gone against him is his man-management style," said Dennis.
 
"It is other issues other than performance which have undermined him. When you look at the flashpoints that Mancini has had this season that gives you an indication of the difference in holistic approach that City are looking for."
 
Mancini was critical of Manchester City officials for failing to deny the newspaper reports that surfaced on the morning of Saturday's FA Cup final stating he would be sacked and replaced by Pellegrini.
 
City were beaten by Ben Watson's 90th-minute header at Wembley as Wigan, struggling to avoid relegation from the Premier League in 18th place, became the lowest ranked team to win the FA Cup since West Ham in 1980.
 
City thrashed rivals United 6-1 at Old Trafford in October 2011 en route to their first Premier League title and although they beat them again on their home ground this season, Sir Alex Ferguson's team wrapped up their 20th league crown last month with four matches remaining.
 
Mancini's record in the Champions League has also come under scrutiny.
 
The furthest he has been in Europe's elite competition is the quarter-finals, with Inter Milan, and City have been eliminated in the group stages of both their campaigns during his reign.
 
Having finished third behind Bayern Munich and Napoli in 2011 they again failed to qualify this term, winning none of their six matches in a formidable group that also contained Borussia Dortmund, Real Madrid and Ajax.
 
Their tally of three points was the lowest by an English side in the group stage of the competition.

 

Credit: Joseph Lukaza

Matukio zaidi Ziara ya Mbowe Jimboni Kwake.. Atoa Vifaa Vya Michezo Kwa Vijana!

$
0
0

Mbowe akitoa jezi KiaMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe akiwakabidhi viongozi wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Mtakuja FC ya Mtakuja, Yusuf Idd (kushoto) na Rasud Juma (katikati) zawadi ya jezi na mipira kwa ajili ya timu hiyo jana. Katikati ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana, Dorice Cornel na Katibu Mwenezi wa chama hicho wilayani Hai, Simon Mnyampanda. Kiongozi huyo yuko katika ziara ya wiki mbili jimboni kwake kuzungumza na wananchi wake

Mbowe akitoa jeziHapa Mh Freeman Mbowe akimkabidhi nahodha wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Wazawa FC ya KIA, Efati Mwasumbi, zawadi ya Jezi na mipira kwa ajili ya timu hiyo jana. Katikati ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la chama hicho (BAVICHA) Dorice Cornel.


TANZANIA YANG’ARA MAONESHO YA INDABA

$
0
0
1Balozi wa tanzania afrika kusini na akiwa katika picha ya pamoja na washiriki
2Muonekano wa Banda la Tanzania katika maonesho hayo ya kimataifa
3Mishemishe za Biashara zikiendelea katika maonesho hayo
4Biashara na makampuni ya tanzania akiendelea

YALIYOANDIKWA NA MAGAZETI YA LEO JUMANNE MEI 14, 2013

Taswira : Rais Kikwete, Rais Mstaafu wa Nigeria Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa Wazindua Rasmi Jengo La Sayansi Katika Kituo Cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni Jijini Dar es salaam

$
0
0

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa wakiteta jambo baada ya kuzindua rasmi  jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa wakiangalia aina mbalimbali ya mihogo wakati wa uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo baada ya uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa baada ya uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa wakizindua rasmi  jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa wakizindua rasmi  jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa wakionja mikate iliyotengenezwa kwa unga wa muhogo wakati wa uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa wakisikiliza maelezo ya kitaalamu juu ya utafiti wa maradhi ya migomba toka kwa Profesa Rony Swennen  wakati wa uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na akiangalia katika darubini vimelea vya magonjwa ya mihogo vilivyo katika sehemu ya utafiti baada ya kuzindua rasmi  rasmi  jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Mstaafu Mzee Benjamin William Mkapa akiwa na  Balozi wa Marekani nchini Mhe Alfonso E. Lenhardt  pamoja na  Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Mhe. Tonia Kandiero    wakati wa uzinduzi  rasmi  rasmi  jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chifu Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa akihutubia wakati wa  uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo wakisiliza maelezo ya tafiti mbalimbali za mihogo baada ya kuzindua rasmi  jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mazungumzo na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo baada ya uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa katika picha ya pamoja na wadau wa maendeleo bnaada ya kuzindua rasmi  jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo Mei 13, 2013.Picha na IKULU

Ziara ya Mwenyekiti wa CHADEMA na Mbunge wa Hai Mh Freeman Mbowe, akikagua Ujenzi na Uhai wa chama (Chadema) ngazi ya misingi/vitongoji ambapo anakutana na kuzungumza na viongozi wa misingi hiyo.

$
0
0

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Hai, akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa chama hicho Kijiji cha Mtakuja, Mzee Ally Mbatia. Mbowe yuko katika ziara ya kukagua uhai na kuimarisha ujenzi wa chama katika ngazi ya chini kabisa ya chama hicho, msingi, kwenye maeneo ya vitongoji mbalimbali katika vijiji vya Jimbo la Hai

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na mbunge wa Hai, Freeman Mbowe na Mbunge wa Hai, akijadiliana jambo na wananchi maeneo ya vitongoji mbalimbali katika vijiji vya Jimbo la Hai.

Picha na Tumaini Makene

Nyamlani kusikiliza kesi ya Jay Dee, Ruge Mutahaba

$
0
0

Lady Jaydee na mumewe Gadner

Jide “Komando” na mume wake Gadner G Habash wakiwasili mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jana. Picha na GPL


HATIMAYE Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo wa kampuni ya Clouds Media Group ya jijini Dar es Salaam, Ruge Mutahaba, amefungua kesi ya madai dhidi ya mwanamuziki nguli, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’, ambayo inataanza kusikilizwa Mei 27 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

Kupitia kwa wakili wake, Ruge amefungua madai dhidi ya Jay Dee kupitia jalada namba 29/2013 chini ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Athuman Nyamlani, ambaye pia ni Makamu wa Rais Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Hata hivyo, wakili wa Ruge ambaye alikuwa mahakamani hapo hakuwa tayari kudokeza madai ya msingi ya mashtaka yaliyofunguliwa ingawa pande hizo mbili zimekuwa kwenye malumbano ya maneno ambapo msanii huyo alidai Clouds Media Group imekuwa hairushi matangazo ya bendi yake.

“Tumefungua kesi ya madai, zaidi mumtafute Jay Dee mwenyewe au Ruge ndiyo wenye kuongelea; mimi siwezi kuongea chochote hadi nitakaporuhusiwa na mteja wangu,” alisema wakili huyo ambaye hata jina lake alikataa kuweka hadharani.

Awali mwandishi wa habari hizi aliweza kuwasiliana na Gadna G Habash ambaye ni Meneja na Mume wa Mwanamuziki Lady Jay Dee, aliyekiri kupokea taarifa ya kuitwa mahakamani kwa Jay Dee, ingawa hajui kwa ajili ya nini.

“Ni kweli walifika watu na barua ambayo ni ya wito kwa Jay Dee ili afike mahakama ya Kinondoni, Jumatatu (jana); hata hivyo hawakumkuta, lakini wito huo amefikishiwa mlengwa,” alisema Gadna.

Gadna alisema hajajua Lady Jay Dee anaitiwa nini na amemwelezea na amesema atatekeleza wito huo. Hata hivyo, wakati tunakwenda mitamboni, kulikuwa na habari kuwa Gadna na Jaydee walifika mahakamni majira ya saa sita mchana.

na Andrew Chale, Tanzania Daima

Viewing all 1899 articles
Browse latest View live