Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNITED BANK FOR AFRICA TANZANIA RECOGNIZES BEST EMPLOYEE OF THE SECOND QUARTER

Relationship Manager Nicholaus Shimba (right) receiving his certificate from the COO Mr. Chris Byaruhanga (left) in recognition of his significant performance in the second quarter.Relationship Manager...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA KIMATAIFA YA VIJANA DUNIANI YAADHIMISHWA KWENYE VIWANJA VYA MNAZI...

Maandamano  yakiongozwa na bendi ya jeshi la polisi Baadhi ya vijana kutoka shule mbalimbali wakiandamana kuingia katika viwanja vya mnazi mmoja wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ni leo, Usikose Kongamano La kufungua Fursa : SMEs Na Diaspora... Ratiba...

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA VIJANA MKOANI MBEYA WAKATI WA KUAZIMISHA SIKU YA VIJANA DUNIANI

 Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Vijana Halmashauri jiji la Mbeya  Onah Temu akitoa hotuba katika siku ya Vijana Duniani ambayo kwa Mkoa wa Mbeya ilifanyikia Ukumbi wa Chuo kikuu Cha Mzumbe Kampasi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja na...

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja ametangaza Kuhama CCM na Kujiunga Rasmi na CHADEMA Leo  Aliyekuwa Mwenyekiti -CCM mkoa wa Dar es Salaam John...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msafara wa Lowassa kwenda msibani kwa Mzee Kisumo wazuiwa na Polisi Mwanga!

Lowassa na msafara wake wa makumi ya wafuasi wa ushirikiano wa vyama vinne maarufu kama UKAWA wamejikuta wakishindwa kuendelea na safari ya kumsindikiza Mgombea wa Urais kupitia CHADEMA, chama mshirika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF YATOA “DARASA” KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHANGIAJI WA BIMA YA...

 MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA ZA AWALI: MATUKIO YA MAANDALIZI ENEO LA MKUTANO WA LOWASSA KIMANDOLU...

Jukwaa kuu lilivyopambwa. Hili ni gari maalumu Wafanya biashara wa vifaa vya uenezi nao wameshajipanda Bodaboda nao wanawasiliDiwani wa Kata ya Kimandolu Mh Ngowi ambaye ndiye mwenyeji wa eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA SABA ZA KINACHOENDELEA UWANJA WA TINDIGANI JIJINI ARUSHA LOWASSA...

Aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti waa mikoa wa CCM, Mghana Msindaa akihutubia ambapo alitumia nafasi aliyopewa kumjibu Katibu Mwenei wa CCM na kumuambia kuwa aache kuhangaika nae na badala yake aeleze...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: WIZARA YA UJENZI ILIVYOMUAGA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE

 Waziri wa Ujenzi Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Mfutakamba wakati akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye hafla ya kumuaga Rais wa Jamhuri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRAk MAPOKEZI YA LOWASlSA NA UKAWA JIJINI MWANZA VIWANJA VYA FURAHISHA

  Waziri Mkuu Mstaafu Lowassa,  Akizungumza na wananchi pamoja na wafuasi wa chama hicho Jijini Mwanza katika Viwanja vya Furahisha Kirumba. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Mmiliki wa UJIJIRAHAA BLOG....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: TAMASHA LA 'DEMOCRACY IN DAR' LILIVYOFANA, WAKAZI WAHAMASIKA...

 Wananchi waliojitokeza katika tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU HAPA MGAWANYO WA MAJIMBO YA UKAWA KWA UCHAGUZI WA OKTOBA 25, 2015

 UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI (UKAWA)MGAWANYO WA MAJIMBO YA UBUNGE KWA VYAMA VINAVYOUNDA UKAWA KATIKA UCHAGUZI MKUU 2015Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), uliasisiwa wakati wa Bunge Maalum la Katiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ORODHA YA MAJINA YA WANACHAMA WA CHADEMA WALIOTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE MWAKA 2015

 CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)ORODHA YA MAJINA YA WANACHAMA WA CHADEMA WALIOTEULIWA KUGOMBEA UBUNGEPosted by Chadema Blogtz at 1:50 AMNo comments:

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMES MBATIA AKABIDHI ZAWADI KWA BINGWA WA MASHINDANO YA JIMBO LA VUNJO...

Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akiwasili katika uwanja wa Himo Polisi kwa ajili ya kushuhudia fainali ya Mashindano ya Kombe la Jimbo ,maarufu kama Mbatia Cup 2015.Mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt John Pombe Magufuli alipotambulishwa kwa wazee wa Dar es salaam ukumbi wa...

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahma Kinana alipokuwa anawasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRELAND YAWAKABIDHI SCHOLARSHIP WATANZANIA 14 KUSOMEA SHAHADA YA UZAMILI

 Balozi wa Ireland nchini Tanzania, Bi. Fionnuala Gilsenan, akizungumzia kuhusu ufadhili kwa Watanzania wanaokwenda vyuo mbalimbali vya ndani na nje ya nchi. Sherehe hizo zimefanyika Alhamisi, Agosti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bulaya 'aibomoa' Chadema Bunda.

       Kutangazwa kwa Esther Bulaya kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kumesababisha uongozi wa jimbo wa chama hicho ‘kubomoka’ na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK kusaini mikataba mitatu ya kiitifaki - Nipashe

   Rais Jakaya Kikwete, amepanga kuhitimisha miaka 10 ya utawala wake, kwa kusaini mikataba mitatu ya kiitifaki ikiwamo malengo 17 ya Ajenda ya Maendeleo Endelevu Duniani (SDG’s), uhitimishaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yakabidhiwa Hati ya Umiliki 26% Kiwanda cha General Tyre

Hatimaye serikali imekabidhiwa rasmi hati ya hisa na nyaraka muhimu za ununuzi wa asilimia 26 zilizokuwa zikimilikiwa na General Tyre International Company (GTIC). Hatua hiyo inaifanya serikali...

View Article
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live