Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAGUZI MKUU 2015 ‘ Pazia lafunguliwa, CCM na UKAWA kutifuana Majimboni,...

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, Mgombea Mweza wake, Dkt. Juma Haji Duni pamoja na viongozi wengine waliowasindikiza, wakitoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jipatie Tsh 2,000 hadi Tsh 40,000 kwa Video kupitia Kisakuzi.com

Kisakuzi.com ni mtandao unaoonesha video za matukio mbalimbali yanayotokea nchini. Mtandao huu, unanunua video na kumuwezesha mtazamaji kujiongezea kipato chake. Kutokana na ubora au tukio la video...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso niFaida’ campaign

                          Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures. This is even more so in...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN YAPANDA MITI ZAIDI 2000 KUNUSURU MLIMA KILIMANJARO

Sikiliza kionjo cha hotuba ya Kiswahili ya Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez hapa chini.Mgeni rasmi Mwakilishi wa...

View Article

VIDEO YA DMV ALL STARS - Najivunia

DMV ALL STARS - Najivunia ( mix for stage ) from hefemistudios on Vimeo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aungana na viongozi wa Afrika kutofurahia Mahakama ya ICC...

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa 16 wa mwaka wa Chama Cha Wanasheria wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika SADC uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM YAKAMILIKA JANGWANI

Chama Cha Mapinduzi kinazindua rasmi kampeni zake leo kwenye viwanja vya Jangwani ambapo Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan atakabidhiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: MKUTANO WA CCM DAR ES SALAAM UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2015

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA ZANZIBAR : MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD ACHUKUA RASMI FOMU YA KUGOMBEA...

 Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akionyesha mkoba wenye Fomu za kuwania nafasi hiyo, leo Agosti 23, 2015, kwenye Ukumbi wa Salama, Bwawani,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: EDWARD LOWASSA AZUNGUKA NA DALADALA NA KUSALIMIANA NA WANANCHI...

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi Wamzuia Mgombea Mwenza wa CCM Barabarani Mwanga

Bi. Samia Othuman Suluhu akipokewa na baadhi ya viongozi na makada wakiwa kwenye mkutano huo. Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano huoBAADHI ya wananchi na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UFAFANUZI KWA KUHUSU KASORO ZA BVR NA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA...

Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ulikamilika tarehe 04/08/2015 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani.Baada ya kukamilika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi wavamia msafara wa Lowassa

 JESHI la Polisi Dar es Salaam leo limevamia na kuuzuia msafara wa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa kuingia sokoni Kariakoo.Polisi hao walikuwa kwenye magari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akimtambulisha Magufuli Sumbawanga

Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: ZIARA YA MAGUFULI KATAVI KUOMBA KURA, PINDA AMNADI KWA WANA KATAVI

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli akihutubia wakati wa mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Azimio mjini Mpanda, mkoani Katavi.Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) :...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) SAMIA SULUHU HASSAN...

Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama cha Mapinduzi ,Samia Suluhu Hassan alipowasili uwanja wa Majengo mjini Moshi kwa ajili ya mkutano wake wa kampeni wa hadhara.Wanachama wa Chama cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGODI WA BUZWAGI WAZINDUA LIGI YA MAHUSIANO-KAHAMA

Baadhi ya Maafisa kutoka Mgodi wa Buzwagi wakifatilia mashindano hayo wakati wa ufunguzi, kutoka kushoto ni Bwana, Jamal Rwambol, (Security Operations Section Leader),George Mkanza-(Sustainability...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA ATEMBELEA SOKO LA TANDALE

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUBENEA AZUNGUMZIA ALIVYOKAMATA SHAHADA BANDIA 100 ZA KUPIGIA KURA

 MGOMBEA Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea, amedai kuwa zaidi ya kadi milioni mbili za kupigia kura zinatengenezwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUKUMU YA MMLIKI WA ST MATHEW YAAHIRISHWA HADI ALHAMIS.

Na Mwandishi wetuMAHAKAMA ya Mwanzo Kizuiani Mbagala Jijini Dar es Salaam, imeshindwa kutoa hukumu kwenye kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na mkazi wa Singida, Magreth Mwangu...

View Article
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live