Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Viewing all 1899 articles
Browse latest View live

DIAMOND PLATNUMZ, SAUTI SOL AND PATORANKING ROCKS VUZU AMP 1st ANNIVERSARY #ONLYTHEBEST

$
0
0

By Zainul Mzige, Modewjiblog

Whether you like it or not Diamond Platnmuz he is the best. The gentleman from Dar es salaam Tanzania changed the air after rocking in the so much fun Content Showcase extravaganza #OnlyTheBest at the Outrigger Beach Resort, Bel Ombre in the South Coast of Mauritius

More than 200 people, including representatives from different local and international channels and journalists, who converged in Mauritius for the MultiChoice Africa extravaganza, applauded the boy for the best performance.

Platnumz performed in the last day of The MultiChoice Africa Content Showcase which ended with exciting birthday party to celebrate one year of the Vuzu Amp channel.

The party saw exciting mixes for DJ Neptune and DJ SpinAll as well as performances Patoranking, Sauti Sol and our man Diamond Platnumz from Tanzania.The show case which was attended by numerous celebrities including Ik Osakioduwa, Rita Dominic, Genevieve Nnaji, Eku Edewor, Banky W, Adebola Williams, Desmond Elliot, Noble Igwe, Tosyn Bucknor, Mr. Flavour and more were exciting.

The week long showcase saw DStv’s biggest channels, including Sony, SuperSport, Zee World, A+E, Disney, MTV Base, BET, Comedy Central, BBC and M-Netpreviewing their newest content , giving journalists and bloggers and awe stunning eyes topping with VIP Treatment. We were more than 90 journalists from the globe.

From Dare s salaam Tanzania we were me, Zainul Mzige, Modewjiblog Operations Manager, Masembe Tambwe from Daily News, Paul Owere from The Citizen, Sylvester Domasa from The Guardian, Selemani Shineni from Mtanzania and Millard Ayo from Clouds FM Radio.

Journalists from Tanzania we were accompanied by the Public Relations Officer, MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi.

To wrap up the week-long of activities, MultiChoice held the one year anniversary of Vuzu Amp, a South African youth-oriented digital satellite television channel produced by M-Net for DStv and described as “an amplified experience” of the current Vuzu channel, featuring local and international content.

During the Night of a Thousand Stars attended by media from across Africa as well as some arts and big celebrities including those from Nigeria who are doing wonders in our little screens, MultiChoice Africa's CEO, Tim Jacobs confirmed that the company would do its best to provide outstanding content to subscribers.

Meanwhile, Vuzu AMP, DStv’s premier youth brand is turning up the heat on content across Africa this summer.

The channel has recently acquired a number of leading crime, action and comedy series to keep our viewers entertained from spring, well into the holiday season and beyond.

On the back of international hits, Vuzu AMP has secured major deals with leading studios like: HBO, Starz, NBC, Disney and ABC. With Vuzu AMP, this summer is sure to be a sizzler.

If you couldn't make it to Mauritius, no need to worry check out these images and get a glimpse of all the fun!

IMG_7927

Fantastic Decoration at the Marquee.(All Photos by Zainul Mzige).

IMG_7931

IMG_7990

Sauti Sol were the first to rock the stage.

IMG_7993

Sauti Sol's Delvin Savara Mudigi sings to adoring fans in Mauritius.

IMG_7998

Sauti Sol rocking the stage.

IMG_8003

IMG_8005

Sauti Sol's, Chimano Austin Singing!.....Huenda Akawa Nyerere, Aongoze Tanzania,.....Huenda Akawa Mandela, Mkombozi Wa Taifa,.....Nakuomba Nerea, Usitoe Mimba Yangu We, Mungu Akileta Mtoto, Analeta Saa Ni Yake,

IMG_8011

IMG_8027

Those moves dah...!

IMG_8046

Dancing to the tune; Sura yako muzuri mama, aaah ...Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama....Na tabasamu lako maua, aaah...Muzuri mama, muzuri mama, muzuri mama (x2)

IMG_8047

Piga densi kidogo...Piga de, piga densi kidogo...Densi kidogo...Piga de, piga densi kidogo (x2)

IMG_8048

Everybody on the move...!

IMG_8160

Diamond Platnumz with his dancers!

IMG_8167

...Onanana baby oh onananana baby oh onanana onananananana Baby oh onanana baby oh onananana baby oh onanana onananananana Kama nguna ntakulaga (mmhh) tukipata burger (mmhh) tukikosa dagaa (mmhh) Njaa nitalala nayo (oyorima) mirungi kwa kusaga (mmhh) mbege kwa wachagaa (mmhh).

IMG_8255

sankoro sankororo sankoro sankororo Tanzania sankoro sankororo tah (oyorima) Kama Ronaldo Nigeria sankoro sankororo (umunwanyi) sankoro sankororo (everybody) Sankoro sankororo taah! Kama Ronaldo...

IMG_8257

IMG_8258

IMG_8259

IMG_8173

IMG_8193

IMG_8218

Thank you.....!

IMG_8438

We did it broda; .....Diamond's DJ Rommy Jones chatting with Diamond's Manager, Salaam Sk after the Performance of Diamond Platnumz.

IMG_8471

Ladies admiring Diamond's DJ Rommy Jones.

IMG_8480

When Kenyan's brothers meet; Sauti Sol's, Chimano Austin (left) with his fellow broda from Kenya.

IMG_8440

Selfie time; Diamond's DJ Rommy Jones with Diamond's Manager, Salaam Sk.

IMG_8461

Showing some love to our fellow journalist.

IMG_8057

Selemani Shineni from Mtanzania News Paper.

IMG_8065

Team Botswana representing.

IMG_8069

IMG_8076

Paul Owere from The Citizen News Paper.

IMG_8090

Public Relations Officer, MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi (left) poses for a photo with Zainul Mzige, Sylvester Domasa and our fellow journalist from Botswana Thobo Motlhoka.

IMG_8094

Thank you MultiChoice Africa for bringing us together.

IMG_8100

Nigerian Artist, Banky W (left) pose with Kingsley.

IMG_8106

Paul Owere (centre) from The Citizen News Paper poses for a photo with Nigerian Artist, Banky W (left) and Kingsley.

IMG_8121

Nigerian Actress, Rita Dominic pose with Modewjiblog Operations Manager, Zainul Mzige.

IMG_8124

Nigerian Actress, Rita Dominic with Paul Owere from Tanzania.

IMG_8127

Nigerian Actress, Rita Dominic poses for a photo with her fan.

IMG_8131

Nigerian Actress, Rita Dominic with her fan.

IMG_8310

Nigeria Actress, Rita Dominic and Genevieve Nnaji poses for a photo.

IMG_8350

Nigeria Actress, Rita Dominic, Genevieve Nnaji pose with Millard Ayo.

IMG_8354

Nigeria Actress, Rita Dominic, Genevieve Nnaji adn Eku Edewor pose with Zainul Mzige.

IMG_8360

Diamond's Manager, Salaam Sk (centre), Nigerian Artist, Banky W.

IMG_8384

Sauti Sol's Bien Baraza with Nigerian Actor Ramsey Nouah.

IMG_8397

Diamond's Photographer, Kifesi with Nigerian Actor Ramsey Nouah.

IMG_8337

Millard Ayo with Nigerian Actor Ramsey Nouah.

IMG_8319

Selemani Shineni from Mtanzania News Paper pose with Sauti Sol's.

IMG_8141

with Our fellow Ethiopian Sister.

IMG_8290

Patoranking and Sauti Sol's mingle with their fans.

IMG_8304

Happy Birthday Vuzu Amp and thank you MultiChoice Africa for bringing us together.


Kipindi cha JUKWAA LANGU.....Kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015...Sep 7 2015 (Part One)

$
0
0
JUKWAA LANGU ni kipindi ambacho kitakuwa kikikujia kila Jumatatu, kujadili mambo mbalimbali yanayotokea nchini Tanzania, na zaidi kuhusu Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
 Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi cha Septemba 7, 2017 ambapo studioni tulitembelewa na Shamis Abdul, kuwezesha mjadala.
Pia, kulikuwa na washiriki kwa njia ya simu, toka pande mbalimbali za dunia

Maalim Seif na CUF Wazindua Rasmi kampeni za Urais Zanzibar Jana

$
0
0

Maalim Seif akiongoza ufunguzi wa Kampeni hizo.

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na Mgombea Urais wa Ukawa wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati wa Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CUF, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Zanzibar leo Septemba 9, 2015.

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akizungumza jambo na Mgombea Mwenza wake, Mh. Juma Duni Haji, katika hafla ya Ufunguzi wa Kampeni za Chama cha Wananchi CUF - Zanzibar, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Zanzibar leo Septemba 9, 2015.

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF - Zanzibar, Nassor Mazrui, wakati akiwasili katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Zanzibar leo Septemba 9, 2015

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akilakiwa na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-Zanzibar, Salum Mwalim, wakati akiwasili katika Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za Chama cha Wananchi CUF - Zanzibar, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Zanzibar leo Septemba 9, 2015.

Mgombea Mwenza wa Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Juma Duni Haji, akiwasalimia wazanzibar.

Picha kwa Hisani ya Othman Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA CHINA 2015, DAR ES SALAAM LEO

$
0
0

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (wa tano kulia), akifurahi baada ya kukata utepe kuashiria ufunguzi wa Maonyesho ya Biashara ya Bidhaa za China 2015, uliofanyika Ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam leo asubuhi. Wengine na maofisa biashara wa China na wadau wa masuala ya biashara.

Hapa Katibu Uledi Mussa akitia saini wakati wa ufunguzi wa maonyesha hayo.

Hapa akioneshwa bidhaa mbalimbali.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa, akizungumza na wanahabari.



Na Dotto Mwaibale

SHIRIKA la Viwango Tanzania(TBS) limesema  bidhaa zinazotoka china zina ubora huku likitoa mwito kwa wafanyabishara kutumia fursa ya kujifunza kupitia maonesho ya bidhaa za china.


Akizungumza Dar es Salaam leo asubuhi kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Joseph Masikitiko,Mkurugenzi wa biashara Agnes Mneney alisema haiwekani kujua kma bidhaa zina ubora au la kwa kuangalia kwa macho.


Alisema TBS ndio waliopewa dhamana na Serikali ya kukangua ubora wa bidhaa zote za ndani na za nje kisha kubainisha kwa wananchi kama bidhaa zina ubora au ni hafifu kwa maslahi ya taifa.


''TBS ndio imepewa dhamana ya kudhibiti bidhaa zenye ubora kwa maslahi ya taifa kwahiyo watanzania wasipende kutoa hukumu kwa njia ya kukaangali kwa macho,''alisema.


Agnes alisema mtanzania anachotakiwa kufanya ni kuhahakikisha ananunua bidhaa ambazo zina nembo ya TBS kwasababu bidhaa zote sokoni zinatakiwa kuwa na viwango vya shirika hilo.


''Bidhaa za nchini China lazima ziwe na vuwango vya ubora vinavyotolewa TBS ili kuzingatia kiwango cha ubora katika soko la Tanzania,''alisema.


Kwa upande wake Mwakilishi wa masuala ya biashara na uchuminchini China,Lin Zhiyong alisema maoyesho ni ya siku tatu ambapo zaidi ya wafanyabishara kutoka nchina 230 wameshawasili nchini.    


Akizungumzia ubora wa bidha zao,Zhiyong alisema kupitia udhibiti waTBS wafanyabishara wa china wameanza kuondoa bidhaa ambazo ni hafifu sokoni.


''Bidhaa hafifu zimeanza kuondolewa sokoni kwa takribani miezi mitatu iliyopita ili kuimarisha ushirikiano wetu na TBS  na mkakati wa wafanyabishara wa China ni kuhakikisha tunaondoa bidhaa zote hahifu ili kulinda bora,''alisema.


Kwa upende wake Katibu Mkuu wa viwanda na bishara,Uledi Mussa alisema Tanzania imekuwa na urafiki mkubwa wa masuala ya kiuchumi na China.


Alisema kupitia urafiki huo ni imani yake China itaisaidia Tanzania kujenga viwanda na kuisaidia Tanzania kuzalisha vitu vyenye ubora na kuviuza.


Mussa alisema Tanzania inaanda mpango wa kuanzisha viwandana kwamba dhamira ya wizara husika ni kuwawesha wafanyabishara wazawa kumiliki viwanda kwa maaendeleo ya nchi.


''Tumekuwa na mambo mengi lakini dhamira ya Serikali kwa miaka mitano inayokuja ni kujenga viwanda na kuwezesha wafanyabishara wazawa kuvimiliki,''alisema.



Maonesho hayo ni ya nne tangu kuanza kuonyeshwa nchini ambayo yanaendelea kwa siku tatu katika viwanja vya Daimond Jubilee jijini Dar es Salaam.

(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com

NA UMRIPATA HAPA KWA HISANI YA MICHUZI MEDIA

VYUO VIKUU NCHINI KUNOANA KATIKA KONGAMANO LA ELIMU YA JUU 2015 JIJINI ARUSHA

$
0
0
 

  

Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU), Profesa Yunus Mgaya akizungumza na waandishi habari leo kuhusu kongamano la saba la elimu ya juu 2015 linalotarajiwa kufanyika jijini Arusha kuanzia Oktoba 1-2, 2015. Pembeni ni Thea Mtau (kulia) na Cosmas Mwasoibya ambao ni wajumbe wa Kamati ya Maandalizi.

Waandsihi wakimsikiliza   Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU), Profesa Yunus Mgaya katika mkutano na waandsihi wa habari uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii/Picha na Cathbert Kajuna.

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kushirikiana na Tume ya Vyuo Vikuu nchini ,Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) pamoja na Kamati ya Wakuu wa vuo Vikuu nchini (CVCPT) imeandaa kongamano la saba la elimu.

Akizungumza na waandishi habari leo jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU), Profesa Yunus Mgaya amesema wazo la kuandaa makongamano ya elimu ya juu nchini ni kubadilishana uzoefu na maarifa miongoni mwa wadau elimu katika mstakabali wa taifa.

Amesema katika makongamano watajadili changamoto zinazokabili sekta ya elimu ya juu kutokana na kupanuka kwa sekta hiyo kwa kuwa uazishwaji wa vyuo vikuu binafsi na ongezeko la udahili vyuoni na mabadiliko mengine.

Profesa Mgaya amesema kongamano wanalotajia kulifanya ni la saba ambalo linatarajia kufanyika Oktoba 1 hadi 2 mwaka huu mkoani Arusha.

Amesema katika  kongamano hilo lina malengo ya kuangalia jukumu la Taasisi za Elimu juu nchini kusaidia maendeleo uwezo kwa kuzingatia elimu inayotolewa, Kubainisha fursa muhimu amabazo taasisi ya elimu zinaweza kutumia pamoja na mkakati wa itakayowezesha ushirikiano madhubuti baina ya sekta binafsi ya elimu ya juu,Viwanda na wadau wengine wa kuleta mabadilko katika sekta ya elimu nchini.

CREDIT: MICHUZI MEDIA

NAWASHANGAA MAWAZIRI WAKUU WENZANGU WALIOSTAAFU,WAKIDAI CCM MIAKA 50 HAKUNA KILICHOFANYA-JAJI WARIOBA

$
0
0
 Waziri Mkuu Mstafu Jaji Joseph Sinde Warioba akihutubia wakazi wa Butiama ambapo aliwaeleza Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-MARA

WAZIRI Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba, ameibuka katika kampeni za mgombea urais wa CCM Dk. John Magufuli na kusema kuwa anashangazwa na hatua ya mawaziri wakuu wenzake kuhama CCM na kudai hakuna kilichofanyika katika miaka 54 ya Uhuru.

Pamoja na hali hiyo amesema anajua wazi huenda hata wanachokifanya hawajui wajibu wao walipokuwa katika madaraka hayo kama washauri wakuu wa rais.alisema  sasa umefika wakati wa watu wanaomtumia kama dira Baba wa Taifa katika kampeni zao wajitafakari zaidi.

"Wengine katika kampeni zao wanatumia maneno ya Mwalimu kama wamechanganyikiwa. Huwezi kumtumia Mwalimu kama dira halafu unasema CCM haijafanya kitu, aliijenga Tanzania kwenye misingi na wote walimfuata wanapita kwenye misingi yake," alisema Jaji Warioba
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia mamia ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika mjini Bunda leo.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akipokea kifimbo na Chief Japhet Wanzagi kwa niaba ya Wazee wa Butiama.
 Dkt akionesha fimbo hiyo aliyokabidhiwa na Chief wa Wazanaki,Japhet Wanzagi
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dr. John Pombe Magufuli akiwanadi wagombea ubunge kulia ni Nimrod Mkono kutoka jimbo la Butiama Vijijini na  Profesa Sospeter Muhongo ambaye anatoka jimbo la Musoma vijijini.

 Mamia ya Wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dr. John Pombe Magufuli.
 Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Nyamuswa ambako ndiko alikozaliwa Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba,wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli.
 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mgombea Ubunge wa jimbo la Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe. Stephen Wasira,shoto ni Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba,kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika mjini Nyamuswa jioni ya leo.
 Wananchi wa Nyamuswa wakimsikiliza Dkt Magufuli.
 Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Nyamuswa ambako ndiko alikozaliwa Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba,wakimshangilia Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli alipokuwa akimwaga sera zake na kuomba ridhaa ya kuiongoza Tanzania katika awamu ya tano.
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na mgombea ubunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Ndugu Sospeter Muhongo,kushoto ni Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe. Stephen Wasira wakati wa mapokezi mkoani Mara,pichani kati ni Mtoto wa Baba wa Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Afrika Mashariki,Mh Makongoro Nyerere
  Umati wa wakazi wa Butiama wakimsikiliza Mgombea wa Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Sehemu ya Wananchi wa Butiama wakishangilia jambo

UNESCO WAKABIDHI KITABU CHA MAFUNZO YA TEHAMA KWA SERIKALI NCHINI

$
0
0
IMG_8554

Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues (kulia) akitoa neno la ukaribisho kwa wadau wa sekta ya elimu wakati wa hafla ya kukabidhi kitabu cha mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu nchini kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Katikati ni mgeni rasmi Kamishina wa Elimu, Profesa Eustella Bhalalusesa aliyemwakilisha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Sifuni Mchome. Kushoto ni Ofisa wa Ubalozi wa China, LIU Yun.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)

Na Mwandishi Wetu

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), limekabidhi rasmi kitabu cha mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu nchini kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

Makabidhiano hayo yamefanyika jana jijini Dar es salaam katika hafla iliyohudhuriwa na wadau walioshiriki katika uandazi wa kitabu hicho, ikiwamo serikali ya China.

Kitabu hicho ni matokea ya mradi wa CFIT wa UNESCO na serikali ya China wenye lengo la kusaidia Serikali ya Tanzania kuimarisha umahiri wa wakufunzi na walimu kwa kuwawezesha kujua Tehama na kuitumia.

Mradi huo umelenga kuongeza uwezo wa vyuo vya walimu na teknolojia ya kisasa ya Tehama na vifaa vyake ili kusaidia kujifunza na kufunza.

Alisema lengo la mradi huo ni kuwezesha wanafunzi na walimu wao kuongeza maradufu uwezo wao katika elimu.

IMG_8742

Mgeni rasmi Kamishina wa Elimu, Profesa Eustella Bhalalusesa akisoma hotuba ya ufunguzi kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Sifuni Mchome wakati wa hafla ya kukabidhiwa kitabu cha mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu nchini kwa ajili ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kilichoandaliwa na mradi wa CFIT wa UNESCO na serikali ya China.

Akipokea kitabu hicho kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Sifuni Mchome, Kamishina wa Elimu, Profesa Eustella Bhalalusesa ameishukuru UNESCO na serikali ya China ya kuwezesha upitiaji wa kitabu hicho kinachotoa mwelekeo wa mafunzo ili kuambatana na maagizo ya viwango yaliyotolewa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO),

Alisema kitabu hicho kinatoa mwelekeo wa utekelezaji wa elimu ya Tehama kwa kuzingatia uwezo na weledi katika ufundishaji.

Kamishina huyo amesema kwamba kazi ya kuangalia viwango hivyo iliyofanywa kutokana na Mfuko wa China na Unesco kwenye moduli sita za uelewa na elimu ya teknolojia kwenye Tehama.

Alishukuru timu iliyopitia viwango hivyo na kusema serikali ya Tanzania inashukuru msaada huo wa Unesco na serikali ya China kwa kufanikisha kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa.

IMG_8684

Ofisa wa Ubalozi wa China, LIU Yun akitoa salamu za Balozi wa China nchini kwenye hafla ya kukabidhi kitabu cha mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu na walimu nchini kwa ajili ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

Ni matumaini yake kwamba sasa Tanzania ina kielelezo cha kufuatia katika kufanikisha maandalizi ya walimu wenye weledi na uwezo katika kufundisha na kutumia teknolojia ya Tehama.

Naye Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues akizungumza kabla ya kukabidhi kitabu hicho alisema UNESCO itaendelea kushirikiana na serikali ya Tanzania katika kuimarisha elimu ya Tehama ili kufungua njia pana zaidi ya maendeleo.

Aidha ameikumbusha serikali ya Tanzania kutumia vyema kitabu hicho katika kuhakikisha kwamba mafunzo ya kariba ya hali ya juu yanatolewa ili kuwa na mafanikio makubwa katika sekta zote za elimu na teknolojia.

Alisema kitabu hicho kinatoa mwelekeo wa hatua kwa hatua katika mafunzo ya Tehama na namna ya kufanikisha katika kumwelimisha mwanafunzi na vitu vinavyoweza kufanywa ili kuhakikisha kwamba elimu sahihi inawafikia wahusika.

Naye Balozi wa China nchini, Dk. Lu Youqing kupitia kwa Ofisa wa Ubalozi Liu Yun aliyefika kwenye hafla hiyo, alisema kwamba serikali ya China itaendelea kushirikiana na Tanzania katika kuboresha elimu ya Tehama nchini.

Naye Mratibu wa kitaifa wa Mradi wa CFIT Kutoka UNESCO, Faith Shayo alishawahi kusikika akisema utoaji wa mwongozo huo ni sehemu ya maandalizi ya mafunzo na matumizi ya maabara katika vyuo vya Monduli na Tabora katika kufunza Tehama ili kuboresha mafunzo na ufundishaji.

Ingawa kwa sasa vyuo vinavyofanyiwa kazi na mradi huo vipo viwili vya Tabora na Monduli vipo vingine vinane vinavyofunza walimu wa sayansi na hesabu ambavyo vitaingizwa katika mradi.

IMG_8806

Mratibu wa kitaifa wa Mradi wa CFIT kutoka UNESCO, Faith Shayo akielezea maandalizi na hatua walizopitia katika uandaaji wa kitabu hicho mpaka kukamilika kwa wadau wa sekta ya elimu walioshiriki hafla hiyo.

IMG_8817

Meza kuu ikimpongeza Mratibu wa kitaifa wa Mradi wa CFIT kutoka UNESCO, Faith Shayo (hayupo pichani).

IMG_8926

Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues (kulia) akimkabidhi Kamishna wa Elimu, Prof.Eustella Bhalalusesa kitabu cha mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu na walimu kilichoandaliwa na mradi wa CFIT wa UNESCO na serikali ya China. Mradi huo una lengo la kusaidia serikali ya Tanzania kuimarisha umahiri wa wakufunzi na walimu kwa kuwawezesha kujua Tehama na kuitumia.

IMG_8931

Mgeni rasmi Kamishina wa Elimu, Profesa Eustella Bhalalusesa (walioketi kushoto) na Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues katika picha ya pamoja na timu iliyoshiriki kuandaa kitabu cha mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu na walimu kilichoandaliwa na mradi wa CFIT wa UNESCO na serikali ya China wakati hafla ya makabidhiano ya kitabu hicho iliyofanyika katika hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam. Mradi huo una lengo la kusaidia serikali ya Tanzania kuimarisha umahiri wa wakufunzi na walimu kwa kuwawezesha kujua Tehama na kuitumia.

IMG_8734

Pichani juu na chini baadhi ya wadau wa sekta ya elimu na maafisa wa Shirika la UNESCO waliohudhuria halfa ya makabidhiano ya mwongozo wa mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu nchini kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam kwenye hoteli ya Protea Courtyard.

IMG_8811IMG_8743IMG_8510

Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues akijadiliana jambo na Mratibu wa kitaifa wa Mradi wa CFIT kutoka UNESCO, Faith Shayo Kulia aliyeketi ni Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO, Dr. Moshi Kimizi.

IMG_8766

Mgeni rasmi Kamishina wa Elimu, Profesa Eustella Bhalalusesa katika picha ya pamoja na wadau wa sekta ya Elimu nchini mara baada kupokea kitabu cha mwongozo wa mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu na walimu kilichoandaliwa na mradi wa CFIT wa UNESCO na serikali ya China wakati hafla ya makabidhiano ya kitabu hicho kilichokabidhiwa kwa Kamishna wa Elimu nchini katika hoteli ya Protea Courtyard Hotel jijini Dar es Salaam.

JUKWAA LA SANAA LAFANA, SALMA MOSHI AWALIPIA WASANII BIMA YA AFYA

$
0
0

Jukwaa La Sanaa la BASATA wiki hii lilipata wazungumzaji wa aina yake na kulifanya kuwa jukwaa lililochangamka na kuwa na mazungumzo ya zaidi ya masaa matano. Wasanii takriban 70 walikaa wakichambua maada mbalimbali kuhusu mustakhabari wa sanaa katika nchi yetu. Jambo ambalo liliingiza changamoto katika jukwaa hili, ni kuweko katika meza kuu wasanii wawili ambao walianza sanaa nchini na hatimae kuhamia ughaibuni ambako ndiko wanaishi kwa sasa.

Wasanii Salma Moshi aliyekuwa akijulikana kama Salma Nyoka, msanii wa kwanza wa kike kuchezea nyoka katika jukwaa, na ambaye alikuwa kiongozi wa vikundi vilivyotamba kama DDC Kibisa Cultural Troupe Super Mama Cultural Troupe na Ujamaa Cultural Troupe, na Abbu Omar, mwanamuziki aliyewahi kupigia bendi kama Urafiki na UDA Jazz ambae kwanza alihamia Kenya na kupiga na kurekodi na makundi kama Simba wa Nyika na Les Wanyika na pia kurekodi album kadhaa akiwa na kundi lake ambaye hatimae alihamia Japan ambako amekuwa akiishi kwa kupiga muziki na akiwa na waTanzania wengine kama Lista na Fresh Jumbe.

Mazungumzo yaligusia nyanja mbalimbali ikiwemo umuhimu wa kuwa na mikataba kabla ya kazi, kuboresha kazi ili kuweza kuuza nje, namna ya kujitambulisha  duniani kwa kuwa na websites na blogs, na pia serikali kubadilika na kuweko mfumo wa uongozi wa sanaa kuanzia ngazi ya wilaya hadi Taifa. Katika mkutano huo, John Kitime Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki aliongelea fursa ya Bima ya Afya kwa wasanii, ambapo Salma Moshi alijitolea kuwalipia nusu ya ada wasanii wanne, na kumlipia bima kamili Mzee Kassim Mapili ambaye kwa sasa anasumbuliwa na moyo na figo. Abbu Omar pia aliamua kulipia Bima yake na kueleza kuwa katika nchi ya Japan ni lazima kila mwananchi kuwa na Bima ya Afya, kwani ugonjwa hauji kwa taarifa na matibabu ni gharama kubwa.

Mkutano huo ulianza saa tano na kulazimishwa kusimamishwa saa kumi, kwani wasanii bado walikuwa na mengi ya kuwauliza wasanii hawa nguli walioweza kuendeleza maisha ughaibuni kupitia sanaa
Baadhi ya wasanii wakimsikiliza Salma Moshi

Mwandishi maarufu Khadija Khalili (mwenye daftari) akifuatilia maada

Mwenyekiti wa CHAMRUMBA akiwa na Mzee Mapili


Francis Kaswahili mwenye kofia Mwenyekiti TAFOMUDEA





Abbu Omari mwanamuziki aishiye Japan

Salma Moshi na Mzee Mapili

Meza Kuu

Group Picture


Salma akiwa na baadhi ya wasanii aliowalipia sehemu ya Bima ya Afya
IMETAYARISHWA NA www.johnkitime.co.tz

Bi. Samia Suluhu Afunika Mkutano wa Kampeni Kibaha...!

$
0
0
WanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, ambapo mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) alihutubia.

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.

WanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, ambapo mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) alihutubia.

WanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, ambapo mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) alihutubia.

Mmoja wa wasanii wa kugani mashairi akiwaburudisha wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, ambapo mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) alihutubia.

Mjumbe wa Kamati ya kampeni Taifa ya CCM, Anjela Kairuki, akizungumza kumnadi mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) kwenye mkutano wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe.

Kikundi cha akinamama wajasiliamali na utamaduni kutoka Temeke kikitoa burudani kwa umati na mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais,  katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe.

Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (kulia) akizungumza jambo na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Pwani, Subira Mgalu katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.

Aliyekuwa mbunge wa Nkenge na mjumbe wa kamati ya kampeni za mgombea mwenza wa CCM, Bi. Asumpta Mshama (katikati) akiwagawia zawadi ya kanga wanakikundi cha akinamama wajasiriamai cha Temeke katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.

Vijana wakiburudisha umati wa wanaCCM katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.

Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu (kulia) akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Kisarawe, Seleman Said Jafo (kulia) katikati ni mgombea udiwani, Mwishehe Mlao mkoani Pwani, 

Baadhi ya wagombea nafasi za udiwani CCM Jimbo la Kisarawe, mkoani Pwani wakitambulishwa katika mkutano wa kampeni. 

Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (kulia) akipewa zawadi na baadhi ya akinamama mara baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.

Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (kulia) akipewa zawadi na baadhi ya akinamama mara baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.

Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (kulia) akipewa zawadi na baadhi ya akinamama mara baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.



Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.

Msanii Snura (katikati) akitoa burudani kwa Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho katika mkutano wa kampeni leo.

Msanii Snura (katikati) akitoa burudani kwa Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho katika mkutano wa kampeni leo.

Wema Sepetu akizungumza na Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho katika mkutano wa kampeni leo.

Chipukizi wa CCM wakitoa burudani katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Koka Francis (kulia) akizungumza jambo na mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais Bi. Samia Suluhu. 

Mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu akipokea kadi ya CHADEMA toka kwa Katibu wa Hamasa Taifa wa CHADEMA, Bwana Nyakarungu (kulia) mara baada ya kujiunga CCM leo.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Koka Francis akimvalisha sare za CCM Katibu wa Hamasa Taifa wa CHADEMA, Bwana Nyakarungu mara baada ya kujiunga CCM leo.

Kada wa CHADEMA na Katibu wa Hamasa Taifa wa CHADEMA, Bwana Nyakarungu (katikati) akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa chama hicho mara baada ya kukihama chama hicho na kwenda CCM na kuvalishwa sare za CCM.

Raha ujipe mwenyewe bana..! Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Koka Francis akijinasibu kwenye mkutano huo.

Kada wa CHADEMA na Katibu wa Hamasa Taifa wa CHADEMA, Bwana Nyakarungu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa chama hicho mara baada ya kukihama chama hicho na kwenda CCM na kuvalishwa sare za CCM.

Mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (katikati) akimtambulisha mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Koka Francis (kulia) katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.
*Picha zote/www.thehabari.com

MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO-DKT MAGUFULI

$
0
0
 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa  akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo,Dkt Magufuli aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo ambapo aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.
   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo ambapo aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo. 

 Magufuli akiwahutubia wananchi wa mji wa Tarime katika mkutano wa hadhara wa Kampeni uliofanyika mjini Tarime leo ambapo Dr. Magufuli amewaomba wananchi hao kumpigia kura za ndiyo ili aweze kuingia ikulu na kuwatumikia watanzania kwa ajili ya kuleta mabadiliko bora kwa watanzania na siyo bora mabadiliko.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo ambapo aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dr. John Pombe Magufuli akipiga Drums Ngoma za muziki wakati alipofika Utegi wilaya ya Rolya na kufanya mkutano wa kampeni.

 Sehemu ya nyomi la watu mjini Nyamongo wilayani Tarime
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akishangiliwa na uati wa watu mara baada ya kuwahutubia wakazi hao mji wa Nyamongo,wilayani Tarime jioni ya leo
 Wananchi wa Tarime wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye mkutano huo wa kampeni za CCM
 Jaji Mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba akizungumza na wananchi wa mjini Tarime wakati alipokuwa akimpigia debe Dr. John Pombe Magufuli. 
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dr. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati akitoa hotuba yake mjini Tarime.
 Sehemu ya umati w Wananchi wakifuatilia sera za Mgombea Urais wa CCM Dkt John Joseph Magufuli,alipokuwa akiomba ridhaa ya kuiongoza Tanzania katika awamu ya tano
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Joseph Magufuli akiwahutubia wananchi wa Tarime waliofurika kwa wingi.  
 Jukwaani napo palikuwa hapatoshi
 Wazee wa kimila wa wilaya ya Tarime wakisubiri kusalimiana na mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli.
 Mgombea Urais wa CCM,Dkt John Pombe Magufuli  akiwahutubia Wananchi wa Rorya katika uwanja wa Utegi
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwahutubia Wananchi wa Rorya katika uwanja wa Utegi 
 Mbwembwe za boda boda kama hivi zilikuwepo mjini Musoma
 Mgombea Urais wa CCM Dkt  Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Mukendo jioni ya leo,ambapo pia aliwahutubia wananchi hao 
 Kikundi cha Tot Plus kikitumbuiza jukwaani
 Wakazi wa Mji wa Musoma wakishangilia yaliyokuwa yakijiri kwenye uwanja wa Mukendo mjini Musoma jioni ya leo.
 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Makongoro Nyerere akihutubia mkutano wa kampeni za CCM za kumnadi Dk. John Pombe Magufuli.
 Mabango ya wafuasi wa chama cha CCM. 
 Naibu Waziri wa  Fedha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi Mwigulu Nchemba akihutubia wakazi wa mji wa Musoma kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.

 Sehemu ya umati wa watu waliofika kumsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia kwenye uwanja wa Mkendo mjini Musoma jioni ya leo

SAFARI ZA MO LEMON MINT SODA YAVUKA MIPAKA YAFIKA MJI WA SANTORINI

$
0
0

lemonMo Lemon Mint imefika hadi Santorini, Greece! Umeifikisha wapi Mo soda yako kutoka hapo Dar? Tutumie picha yako 'smile emoticon' ikichaguliwa tutaiweka kwenye ukurasa wetu wa facebook.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (METL GROUP), imeendelea kufanya vizuri sokoni kupitia upande wa vinywaji vyake mbalimbali vikiwemo: MO Cola, MO Portello na, MO Malt, MO Lemon Mint, MO chungwa na MO Bomba (Energy drink).

Kupitia ukurasa wa Facebook wa MeTL GROUP, (https://www.facebook.com/MeTLGroup) wamebainisha kuwa kampuni hiyo yenye kauli mbiu ya ‘The People’s Brand’, imeendelea kuwa karibu na wateja wao ilikuweza kushirikisha mawazo mbalimbali katika kufikia malengo ya kimaisha.

Mbali na kushirikishana mawazo hayo na wateja wao waliopo kwenye ukurusa huo maalum wa facebook, pia imeweza kutoa elimu na namna ya hatua za kufuatwa kwa watu ikiwemo mazoezi, vyakula vinavyofaa kuliwa na mambo mengine.

Pia kupitia ukurasa huo wa facebook, wateja wameombwa kutuma picha zao wakiwa na vinywaji kutoka MeTL GROUP, ikiwemo MO Bomba, MO Cola, MO Lemon Mint, MO Portello, Mo Embe, MO Chungwa nakisha kutuma katika ukurasa huo na 'Ku-SHARE'. Huku wakitakiwa kupiga picha na kinywaji hicho na kueleza mahala walipo!

mo caHuwezi kujua ukiwezacho mpaka umejaribu‪#‎UsikateTamaa‬

Ndoto yako ni nini..Ndoto yako ni nini?

mo boa
mmo
Vitu vya kuzingatia na kuchukua unapoenda kufanya mazoezi ya viungo...mpango mzima na MO Bomba iwepo kukuongezea nguvu na kukuweka na nguvu zaidi..
pote
Mchezaji bora wa Basketball MICHAEL JORDAN hakuchaguliwa kwenye timu ya basketball kwenye shule yake ya Sekondari kwasababu alikuwa mfupi kuliko wenzake. #‎UsikateTamaa‬

TASWIRA: ZIARA YA KAMPENI YA MGOMBEA MWENZA WA CHADEMA MHESHIMIWA JUMA DUNI HAJI - IRINGA VIJIJINI

$
0
0
 

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini, (Picha na Francis Dande)

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini.

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini.

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akimtambulisha kwa wapiga kura mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini, Patrick Ole Sosopi.

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akiwa na mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini, Patrick Ole Sosopi.

Wasanii wa kikundi cha ngom za asili cha Kitimtim kutoka mkoani Iringa kikitumbuiza wakati wa mkutano wa kampeni uliohutubiwa na mgombea mwenza wa Ukawa, kupitia Chadema, Juma Duni Haji (hayupo pichani) uliofanyika jimbo la Isimani Iringa vijijini.

Wananchi wakifuatilia mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Isimani mkoani Iringa.

MAGUFULI AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI WILAYA YA BUSEGA,BARIADI,ITILIMA NA MEATU MKOANI SIMIYU LEO.

$
0
0
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli aliyenyanyua kofia (katikati) akiwasili katika uwanja wa  CCM mjini Bariadi kwa ajili ya kuwahutubia kwenye mkutano wa kampeni mkoani Simiyu.
 PICHA NA MICHUZI JR-SIMIYU.

 Wananchi wakishangilia kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni mjini Bariadi
 Wananchi wa Nanga wilaya ya Itilima wakishangilia ujio wa Mgombea Urais wa CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akipita kuwasalimia
 Umati wa wakazi wa kijiji cha Mwanhunzi wilaya ya Meatu wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa kampeni za CCM mjini Meatu,mkoani Simiyu jioni ya leo
 Wananchi wakimsiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt John Pombe Magufui alipokuwa akiwahutubia mjini Meatu jioni ya leo.Dkt Magufuli leo ametembelea wilaya ya Busega,Bariadi,Itilima pamoja na wilaya ya Meatu mkoa wa Simiyu
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi, Dk.Magufuli akiwahutubia wakazi wa mji wa Mwanhunzi jioni ya leo mjini Meatu mkoani Simiyu,Dkt Magufuli alisema kuwa atakapokuwa Rais atakuwa karibu na wananchi wanyonge na kuwa yeye anatoka katika familia ya watu maskini na anajua nini maana ya umaskini,Alisema anatoka kwenye familia ya wakulima na wafugaji  hivyo anajua nini ambacho anatakiwa kufanya kuboresha maisha ya makundi hayo mawili na kwenye hilo atahakikisha anaweka mazingiza mazuri ya matumizi bora ya ardhi.

Alisema Serikali yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye wawe na maisha yenye neema na kwenye hilo ana uhakika atafanya kazi nzuri maana kwake yeye ni kazi tu na hakuomba kuwa Rais ili awe mwanasiasa bali anaomba nafasi hiyo kwa kujua anajua namna ambavyo amejipanga kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania wote.

"Nitakuwa upande wenu wananchi wanyonge.Serikali yangu ni marufuku watu wa bodaboda kushikwa na polisi.Serikali yangu haitakuwa ya kunyanyasa mama ntile na kudaiwa kodi za hovyo.Hivyo sitakuwa tayari kuona mama ntile wanatozwa kodi.Najua nitaimarisha ukusanyaji wa kodi kwenye serikali yangu lakini nitawabana wafayabiashara  wakubwa ambapo baadhi yao hawalipi kodi,"alisema Dk.Magufuli.

Aliwataka wananchi kumuamini kwa yale ambayo amekuwa akiyasema kwenye mikutano yake ya kampeni na kuongeza anachoahidi ndicho ambacho atakitekeleza kwenye serikali yake na kwenye maisha yake huwa hataki kutoa ahadi za uongo.

Dk.Magafuli aliweka wazi anapenda mabadiliko yenye tija na kwamba Serikali yake itasimamia nidhamu kwa watumishi wa umma ili wafanye kazi ya kuwatumikia waanchi usiku na mchana na ndio maana atawalipa vizuri na kuongeza hapendi watu wavivu kwenye kazi.

 Umati wa wakazi wa kijiji cha Mwanhunzi wilaya ya Meatu wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa kampeni za CCM mjini Meatu,mkoani Simiyu jioni ya leo.

 Wananchi wa Mwanhunzi mjini Meatu wakifautilia mkutano huo wa hadhara wa kampeni.
 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwanadi wagombea Ubunge na Madiwani kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni  Mwanhunzi,mjini Meatu jioni ya leo mkoani Simiyu.
 Wakazi wa Lamadi ndani ndani ya wilaya ya Busega,Mkoani Simiyu wakishangilia jambo kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika mjini humo leo.
 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Busega,Raphael Chegeni akiwahutubia wananchi wa Busega mapema leo mchana kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni,katika uwanja wa mpira wa Nyamijashi-Lamadi mkoani Simiyu.
 Mwenyekiti wa Wazazi CCM Taifa Ndugu Abdallah Bulembo akimkaribisha mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli kuwahutubia wananchi wa Busega,mapema leo mchana kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni,katika uwanja wa mpira wa Nyamijashi-Lamadi mkoani Simiyu.
  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Busega mapema leo mchana kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni,katika uwanja wa mpira wa Nyamijashi-Lamadi mkoani Simiyu.
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Busega mapema leo mchana kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni,katika uwanja wa mpira wa Nyamijashi-Lamadi mkoani Simiyu.Dkt Magufuli aliwaomba wananchi hao kuitunza amani waliyonayo na kuwa kuwapuuza wale wote wenye maneno ya kuleta ufarakanishi katika nchi yetu
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Mkula,alipokuwa akipita kuwasalimia wananchi hao akielekea Wilayani Busega kwenye mkutano wa hadhara.
 Maandalizi ya kumpokea Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli ndani ya uwanja wa CCM mjini Bariadi yalikuwa kama hivyo pichani.
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi wa Mwanhunzi,alipomaliza kuwahutubia kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jioni ya leo mjini Mwanhunzi,Wilayani Meatu mkoani Simiyu.

SIMANZI: MGOMBEA UBUNGE CHADEMA JIMBO LA LUSHOTO BWA MOHAMED MTOI AFARIKI DUNIA KWA AJALI

$
0
0

Huku kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015, Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimepata pigo baada ya mgombea wake Jimbo la Lushoto Mkoani Tanga, ambaye pia alikuwa Mratibu wa Kanda ya Kaskazini kwa chama hicho, Bw Mohamed Mtoi kufariki dunia kwa ajali ya gari.

Kwa mujibu wa sheria za uchaguzi, inapotokea mgombea amefariki Msimamizi wa Uchaguzi huitaafiru tume ya Uchaguzi kwa ajili ya kupanga tarehe nyingine ya uchaguzi na chama kilichopoteza mgombea kupendekeza mgombea mwingine.

Blogu hii inatoa pole kwa wafiwa wote na Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peopni.

IFUATAYO NI TAARIFA YA RAMBIRAMBI TOKA CHADEMA BLOG SAMBAMBA NA MATUKIO YA MAREHEMU ENZI ZA UHAI WAKE.

“Nachukua fursa hii kwa masikitiko makubwa sana kutoa Salamu za Rambirambi kwa Familia na Uongozi wa Juu wa Chadema Makao makuu kwa msiba wa Kamanda mwenzetu, Mpiganaji wa kweli, Kijana mwenzetu Ndugu Mohamed Mtoi Kanyawana aliyefariki kwa ajali ya Gari iliyotokea huko Tanga. Kwa kweli bado tulikuwa tunamhitaji sana kamanda mwenzetu lakini kifo ni mpango wa Mungu ametangulia mbele sisi tupo nyuma yake. Tunajua mchango wake wa kujenga Chama na tunauthamini sana. Mohamed Mtoi alikuwa ni tegemeo letu kwenye nafasi ya Ubunge Jimbo la Lushoto pia kama mratibu wa Kanda ya Kaskazini, hivyo tumepata pigo kubwa sana hasa katika kipindi hiki kigumu kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu. Tulikuwa tunashirikiana sana na Ndugu Mohamed Mtoi kwenye kusambaza Taarifa Mbalimbali za Chama, mchango wake ulikuwa mkubwa sana. Mungu aiweke roho ya Marehemu Mohamed Mtoi Kanyawana mahali Pema Peponi.
Wenu ChademaBlog Admin”


Picha ya kampeni ya Mohamed Mtoi wakati anagombea Jimbo la Lushoto Tanga

Pichani Gari ambayo ndugu Mohamed Mtoi Kanyawana amepatia ajali akitokea kwenye kampeni

Mohamed Mtoi akiwa na familia yake


Mohamed Mtoi akiwa shule ya msingi 1993

Mohamed Mtoi akiwa kiranja shule ya msingi 1990

Kamanda Mohamed Mtoi akiwa na makamanda wenzake kwenye mkutano mkuu wa Chadema


Kamanda Mohamed Mtoi akiongozana na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe kwenye harakati za kujenga Chama.

Kwa kweli tumempoteza kamanda wa Ukweli kabisa aliyekuwa na mapenzi mema na chama. Mungu akupumzishe mahali pema peponi


Kamanda Mohamed Mtoi akiwa na mtoto wake

Kamanda Moohamedi Mtoi akiwa ziarani barani Ulaya

LOWASSA APATA MAPOKEZI YA KIHISTORIA DODOMA

$
0
0

Mh Edward Lowassa akiongozana na waheshimiwa wengine waliomsindikiza katika ziara yake ya kampeni mkoani Dodoma

Chopa iliyombeba Mh Edward Lowassa ikitua uwanjani

Mh Edward Lowassa akishuka kutoka katika Chopa

Kina mama wakiimba kwa hisia kali

Mh Frederick Sumaye akiongea jambo fulani na Mh Edward Lowassa

Mh Edward Lowassa akihutubia wakazi wa Dodoma

Mh Frederick Sumaye akimwaga sera

Mh Frederick Sumaye na Mh Tundu Lissu wakiongea jambo fulani katika mkutano mkubwa mjini Dodoma

 

ZIARA NYINGINE YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA MKOANI DODOMA

Picha kwa Hisani ya Othman Michuzi


RAIS KIKWETE ATUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WAPYA MONDULI JANA

$
0
0
 


Amiri Jeshi Mkuu Dkt.Jakaya Mrisho akiwa katika gari maalum la wazi na Mkuu wa Chuo cha maafisa wa Jeshi(TMA) Monduli akiingia katika uwanja wa paredi tayari kwa kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa jeshi jana.


Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Adolf Mwamunyange akimkaribisha Amiri Jeshi mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika chuo cha jeshi Monduli(TMA) ili kutukunu kamisheni kwa maafisa wapya jana.


Maafisa wapya wa Jeshi wakila kiapo mbele ya Amiri jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.


Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Adolf Mwamunyange akimkaribisha Amiri Jeshi mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika chuo cha jeshi Monduli(TMA) ili kutukunu kamisheni kwa maafisa wapya jana.


Amiri Jeshi Mkuu Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa Jeshi katika Chuo cha Jeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha jana.


Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange akimkabidhi Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete zawadi ya picha akiwa katika gari la wazi katika sherehe za awali chuoni hapo, na kitara pamoja na nembo maalum ya jeshi kwa kutambua mchango wake katika kuliboresha na kulifanya la kisasa Jeshi la Wananachi wa Tanzania wakati wa Sherehe za kutunuku l\kamisheni kwa maafisa wapya wa jeshi katika chuo cha jeshi Monduli jana.


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiiangalia picha ya kuchora ya Mkewe Mama Salma Kikwete aliyoipokea kwa niaba yake


Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride muda mfupi kabla ya kutunuku Kamisheni kwa maafisa wapya wa Jeshi katika Chuo cha Jeshi Monduli.


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi Afisa mwanafunzi bora Luteni Usu Antony Shija wakati wa sherehe za kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya leo katika chuo cha jeshi TMA Monduli.


Amiri Jeshi Mkuu Rasi Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa akimpa zawadi afisa mwanafunzi bora wa kike Luteni Usu Martina James Shija wakati wa sherehe za kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa jeshi katika chuo cha jeshi Monduli jana. PICHA NA IKULU

NAMNA SINDIGA ILIVYOVUNJA REKODI MAPOKEZI YA LOWASSA JANA

$
0
0

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akionyesha mfano wa funguo kwa umati wa wananchi wa Singida, waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo jana Septemba 12, 2015

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida jana Septemba 12, 2015.

Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Tundu Lissu akimuonyesha Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, mfano wa funguo wenye ujumbe, aliopewa na wananchi wa Singida, wakati wa Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo jana Septemba 12, 2015.



Gharika ya watu yashuhudia uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM za kugombea urais wa Zanzibar

$
0
0
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja kwa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mama Fatma Karume  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea  na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Ndege ndogo ikipita juu ya  Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasili katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akimlaki Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasili katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mama akisaidiwa kwenda kupata huduma ya kwanza baada ya kuhemewa na gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
Nyomi  ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015

Utenzi ukisomwa  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete, mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana wakiwa na furaha katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete, mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana wakiwa na furaha katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Kada mashuhuri wa CCM Visiwani Zanzibar Mzee Borafia akiongea katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Umati ukishangilia katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 CCM OYEEEEEE....anasema kada huyu katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akimpongeza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Mohamed Gharib Bilali baada ya kuhutubia katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume  akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
Viongozi wakiwa jukwaa kuu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Wanahabari wakirekodi tukio hilo la kihistoria kw kila aina ya vifaa vya kisasa ikiwemo drone ya kupigia picha kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Msanii Diamond na kundi lake la Wasafi wakitumbuiza kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
  Msanii Diamond na kundi lake la Wasafi wakitumbuiza kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg. Vuai Ali Vuai akisoma ratiba ya mkutano   kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akihutubia umati kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi akiwa amehemewa kwa gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akisisitiza jambo wakati akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akifafanua jambo wakati akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Diamond na kundi lake wakitumbuiza  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Jukwaa kuu likifurahia onesho la Diamon na kundi lake  wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akirejea tena mbele kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt Ali Mohamed Shein  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
Rais Kikwete na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana wakijiandaa kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt Ali Mohamed Shein  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Msaada unatolewa kwa mama aliyepoteza fahamu  kutokana na wingi wa wananchi wakati wa mkutano huo
 Nyomi mkutanoni hapo
  Rais Kikwete na Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein wakionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akihutubia gharika hiyo ya watu katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Sehemu ya wananchi, wanaCCM  na viongozi uwanjani hapo
 Dua ikisomwa  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa Rais Kikwete wakipongezana kwa   furaha baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Gharika ya watu ikiondoka kwa furaha na amani baada ya mkutano uliofana wa uzinduzi wa  kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiaga wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiaga wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akimnyakua mtoto wakati  akiondoka baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akimbeba  mtoto huyo  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akipata picha na watoto  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akiaga baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiagana kwa furaha na wananchi  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiagana kwa furaha na wananchi  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akiaga wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akiagana na viongozi wa CCM wa Visiwani wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya kuunguruma katika  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
"....CCM JUU!" anasema Rais Mstaafu Benjamin Mkapa wakati akipanda ndege kuondoka baada ya kuhudhuria kuunguruma katika  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015. PICHA NA IKULU

MAGUFULI ALIVYOTIKISA MJINI TABORA LEO

$
0
0
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli,akiwahutubia Wananchi wa Tabora jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa  Ali Hassan Mwinyi.Dkt Magufuli alisema kuwa Serikali yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye wawe na maisha yenye neema na kwenye hilo ana uhakika atafanya kazi nzuri maana kwake yeye ni kazi tu na hakuomba kuwa Rais ili awe mwanasiasa bali anaomba nafasi hiyo kwa kujua anajua namna ambavyo amejipanga kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania wote. 
PICHA NA MICHUZI JR-TABORA

 Sehemu ya umati wa watu waliokuwa katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi jioni ya leo walipokuwa wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa tabora mjini na kuwaambia kuwa Dk. Magufuli ni kiongozi sahihi anayehitajika Tanzania kwa sasa na kuwataka wananchi kumpigia kura zote ifikapo Oktoba 25 mwaka huu.
  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Tabora waliofurika kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia anataka kujenga Tanzania mpya yenye kuleta maendeleo kwa wananchi wote.
 Mmoja wa Makada walioko kwenye timu ya uhamasishaji wa kampeni za CCM,Mh.Samweli Sitta akiwahutubia wananchi wa Tabora kwenye mkutano wa kampeni za Urais ndani ya uwanja wa Ali Hassan Mwinyi jioni ya leo.


 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa mji wa Tabora waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Ali Hassa Mwinyi mapema leo jioni,alipokuwa akiwasili kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni.
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wananchi wa mji wa Tabora waliojazana kusikiliza Sera na Mipango ya Chama Cha Mapinduzi itakayotumika kuongoza kwa miaka 10 ijayo.

 Wananchi wakishangilia .
  Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora.
 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Simiyu wakisubiri kumsikiliza mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli kuwahutubia akitokea wilayani Nzega mapema leo mchana
 Wafuasi wa chama cha CCM sambamba na wananchi wa Uyui wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa kampeni mapema leo mchana.
 Wafuasi wa chama cha CCM wakiwa na Mabango yao ndani ya uwanja wa Ali Hassan Mwinyi,wakimpokea Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli
 Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora
 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora Ndugu Hassani Wakasubi akitoa ufafanuzi mfupi kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara uliofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora
  Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora
 Wananchi wakishangilia wakati Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia.

Mgombea Mwenza CCM Apukutisha Upinzani Lindi, 61 Wajiunga CCM, Wamo Viongozi

$
0
0
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Mke wa Rais Kikwete, Mama Salma Kikwete akizungumza na umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho uliokuwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Katibu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na wanaCCM na wananchi kwenye mkutano wa kampeni za mgombea mwenza wa CCM, Mama Samia Suluhu jana Mkoani Lindi.
Bi. Samia Suluhu (kulia) akimtambulisha mgombea mmoja wa wagombea udiwani katika Jimbo la Mchinga, kuzungumza na wapiga kura wa eneo hilo.
Samia Suluhu akimpokea mmoja wa wanachama mpya aliyejiunga na CCM katika Jimbo la Mchinga.

Bi. Samia Suluhu akimpokea mmoja wa wanachama mpya aliyejiunga na CCM katika Jimbo la Mchinga.
Mmoja wa wanachama wapya wa CCM aliyejiunga na CCM mara baada ya mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza katika Jimbo la Mchinga.
KAMPENI za mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu zinazoendelea mkoani Lindi zimekuwa tishio kwa vyama vya upinzani baada ya mkutano uliofanyika jana eneo la Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kuzoa wanachama 61 waliotoka upinzania na kujiunga na CCM.

Mkutano huo wa kampeni uliohudhuriwa pia na Mke wa Rais Mama Salima Kikwete umeacha maumivu kwa vyama vya upinzani vya CUF, Chadema na NCCR-Mageuzi baada ya kujikuta wanachama 61 wakivikimbia vyama vyao na kujikuta wakijiunga na Chama Cha Mapinduzi na kukabidhiwa kadi mpya za CCM kila mmoja.

Miongoni mwa wanachama ambao walipokelewa leo ni pamoja na Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini, Abdullah Madebe, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Mtaa wa Nananji Lindi, Bakari Kalulu na wanachama wengine kutoka vyama vya CUF na Chadema. Akizungumza baada ya kumkabidhi kadi, Bi. Samia Suluhu Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini alisema awali alipokuwa upinzani alikuwa amepotea na amegunduwa kuwa alikuwa anapoteza muda hivyo kuomba wananchi wamsamehe na ameamua kurudi kundini na kuendelea kulkijenga taifa.

Akizungumza baada ya kuwapokea wanachama hao, mgombea mwenza Suluhu alisema Serikali ya awamu ya tano imeandaa mambo mengi mazuri kwa mikoa ya Lindi na Mtwara na jambo la kwanza kulifanya baada ya kuunda serikali ni kuubadili mji wa Mtwara na Lindi kuwa miji ya viwanda, hali ambalo itakuza uchumi kwa kiasi kikubwa hivyo kunufaisa wananchi.

Alisema kwa kuanzia Serikali inajenga viwanda vinane mkoani Mtwara na vingine vitajengwa mkoani Lindi viwanda ambavyo vitategemea gesi katika uzalishaji wake bidhaa ambayo tayari inapatikana kwa wingi katika maeneo hayo. Alisema ujenzi wa viwanda utaongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na kuongeza nafasi za ajira jambo ambalo litawanufaisha wakazi wa eneo hilo na wawekezaji.

"...Tunataka kuitenga Lindi kuwa mji wa viwanda vitakavyoitumia gesi kwa uendeshaji, lengo ni kuwa na viwanda vitakavyozalisha nafasi za ajira takribani asailimia 40...," alisema Bi. Suluhu. Awali akihutubiwa katika mkutano wa kampeni ulofanyika Kata ya Mingumbi Kilwa Kusini, alisema Serikali inatambua hali ya kuyumba kwa soko la korosho na ufuta ili kukabiliana na hali hiyo imejipanga kujenga viwanda vya kubangua na kufunga korosho pamoja na kukamua mafuta kwa lengo la kumuongezea thamani mkulima katika zao analozalisha.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wa Mnazi Mmoja Katibu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye aliwatoa hofu akinamama na wapiga kura wengine juu ya vitisho vya kuwepo na vurugu kipindi cha uchaguzi kwa lengo la kuwatisha wapiga kura, hivyo kuwataka wananchi wasiogope kwani Serikali na CCM kupitia vijana wake imejipanga kupambana na wafanya fujo hao.

Alisema kitendo cha kutoa vitisho kwa wapiga kura ni kuibaka demokrasia hivyo CCM na vijana wake hawatakuwa tayari kuona demokrasia inabakwa nchini na wapuuzi wachahe. "...Vijana wa CCM naomba mkikamata kibaka wa demokrasia shughulikeni naye kidogo kabla ya kumpeleka polisi...CCM itashinda kwa kishindo," alisema Nape Nnauye.

Aidha msemaji huyo wa Chama Cha Mapinduzi alisema mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa pamoja na mpambe wake anayemuunga mkono Fredrick Sumaye hawawezi kuiponda Serikali ya CCM kwa kuwa wao wamekuwemo na kushika nafasi za juu za utendaji ndani ya serikali na kama walishindwa kuleta mabadiliko hawawezi kufanya hivyo leo.

Aliongeza kuwa kitendo cha kuendelea kuiponda ni sawa na kujidhalilisha wao wenyewe kwa wananchi hivyo kuwataka wasiwarubuni Watanzania kwamba wanamabadiliko ya msingi zaidi ya maslahi yao binafsi, ambayo ndiyo yanayowasukuma kukimbilia walipo.

Mgombea mwenza wa urais CCM, Bi. Suluhu bado anaendelea na ziara ya kuinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi Mkoani Lindi na baada ya kumaliza majimbo ya mkoa huo ataendelea katika Mkoa wa Mtwara, kuwashawishi wananchi kuichangua CCM ili iweze kupata ridhaa ya kuunda Serikali ya awamu ya tano.


Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu kwenye Jimbo la 

Kutoka kushoto ni mgombea mwenza wa CCM nafasi ya uraisa, Bi. Samia Suluhu na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantumu Maiza na mgombea wa Jimbo la Mchinga Said Mtanda wakiwa kwenye mkutano wa kampeni katika Jimbo la Mchinga jana.
Mgombea Jimbo la Mchinga Said Mtanda akizungumza na wannaCCM na wananchi jana jimboni kwake ambapo mgombea mwenza alihutubia wananchi.
Sehemu ya wanaCCM na wananchi jana jimboni kwake ambapo mgombea mwenza alihutubia wananchi.
Mbunge wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dar es Salaam, Anjela Kiziga akizungumza katika mkutano wa kampeni za CCM. 
Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Ushindi Chadema Taifa, Greison Nyakarungu ambaye kwa sasa amejiunga na CCM akizungumza katika moja ya mikutano ya kampeni ya CCM.
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Nkenge, Asumpta Mshama akipiga madongo kwa wapinzani kwenye moja ya mikutano ya kampeni ya CCM.  
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Katibu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye (kulia) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Bi. Mwantumu Mahiza.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantumu Mahiza akizungumza na wanaCCM na wananchi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Mama Samia Suluhu.
Mke wa Rais Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi, Mzee Ally Mtopa pamoja na mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu wakijadiliana jambo kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM viwanja vya Mnazi Mmoja.
Sehemu ya umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini, Abdullah Madebe akikabidhi kadi ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aliyekuwa Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini, Abdullah Madebe (kulia) akipongezwa na Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu mara baada ya kujiunga na CCM, Katikati ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Mmoja wa wananchi waliojiunga na CCM katika mkutano huo akizungumza baada ya kujiunga na chama hicho tawala.
Mmoja wa wananchi waliojiunga na CCM katika mkutano huo akizungumza baada ya kujiunga na chama hicho tawala.
Mama Salma Kikwete pamoja na Bi. Samia Suluhu wakipokea kadi za wanachama waliojiunga na CCM jana Mkoani Lindi.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi, Mzee Ally Mtopa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM viwanja vya Mnazi Mmoja.

Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM pamoja na wananchi viwanja vya Mnazi Mmoja.
Kada wa CCM na mbunge wa zamani wa Mchinga, Mudhir Mudhir akizungumza na wanaCCM pamoja na wananchi wa Jimbo la Mchinga katika mkutano wa kampeni.
*Imeandaliwa/www.thehabari.com
Viewing all 1899 articles
Browse latest View live