Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Viewing all 1899 articles
Browse latest View live

UMESHAWAHI KUMUONA “KINGWENDU” RASHID MWINYISHEHE AKIOMBA KURA!? MCHEKI HAPA AKIMWAGA SERA KISARAWE

$
0
0
 

Mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu” akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akimtambulisha mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu” wakati wa mkutano wa kampenzi uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Kisarawe mkoa wa Pwani.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar Said Issa Mohamed (kulia) akiteta jambo na mgombea wa jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu”

Mgombea Mwenza wa Ukawa Juma Duni Haji akipokea kadi ya CCM kutoka kwa mwanachama wa chama hicho, Kasim Msham aliyekihama na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinji Mkoa wa Lindi. (Picha na Francis Dande)

Kadi za CCM zilizorudishwa na wanachama wa Chama hicho na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinjimkoa wa Lindi.

Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Majengo wilayani Bagamoyo.i uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Kisarawe mkoa wa Pwani.


‘Ofa’ ya Makamba yaamsha Shagwe za ‘Mabadiliko’ Uwanja wa Taifa, Mashabiki Waimba People’s…

$
0
0

Stars-7

Mbwana Samatta (kulia) akimiliki mpira mbele ya Solomon Kwambe. Picha na Shafii Dauda

****************

By Oliver Albert

Dar es Salaam.
Pamoja na Serikali kuzuia kutumia Uwanja wa Taifa kwa shughuli za kisiasa, eneo hilo jana liligeuka uwanja wa kampeni, baada ya mbunge wa Bumbuli (CCM) January Makamba kuruhusu mashabiki walioko nje waingie uwanjani bure.

Tukio hilo lilitokea wakati timu ya Taifa ya soka, Taifa Stars ikimenyana na Nigeria kwenye uwanja huo kuwania nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika.

Wakati wa mapumziko, timu ziliporudi vyumbani kwa mapumziko, sauti kutoka kwenye vipaza sauti ilisema: “Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM amewaruhusu mashabiki wote walioko nje waingie uwanjani bure.

Lakini badala ya mashabiki kupokea tangazo hilo kwa shangwe, karibu uwanja mzima ulisimama na kuanza kupiga kelele ukisema “people’s power, people’s power, people’s power” na kunyoosha vidole viwili, ambayo ni alama ya Chadema.

Baadaye mashabiki hao waliviringisha mikono hewani kuiga ishara inayotumiwa na Chadema na vyama vinavyounda Ukawa kumaanisha mabadiliko.

Mashabiki hao walianza kulitaja jina la mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa na kuendelea kufanya hivyo hadi timu zilipokuwa zikirejea uwanjani ndipo wakakaa chini kutazama mchezo.

Alipoulizwa kuhusu suala hilo, Makamba alisema Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) ndilo linaweza kuzungumzia.

“Sijui chochote labda waulizwe TFF,” alisema.

Msemaji wa TFF, Baraka Kizuguto pia hakutaka kuzungumzia tukio hilo. “Leo ni nafasi ya kocha kuzungumzia mpira wa leo na matokeo,” alisema.

Mashabiki waliohojiwa na Mwananchi walisema watu wamechoshwa na CCM.

“Watu wamekata tamaa na wanataka mabadiliko,” alisema Juma Hamisi, shabiki aliyejitambulisha kuwa anatokea Ukonga baada ya kuulizwa na Mwananchi kuhusu kitendo cha mashabiki kuonyesha waziwazi msimamo wa kisiasa uwanjani hapo.

“Watu wamechoka kwa kuwa kila mwaka hali ni ile ile. Haijalishi Lowassa ni fisadi au si fisadi watamchagua. “MC alisema watu waingie kwa hisani ya CCM. Hizo ni kampeni za moja kwa moja. Ingekuwa si kipindi cha kampeni wangeruhusu watu waingie bure?”

Maoni kama hayo yalitolewa na shabiki aliyejitambulisha kwa jina la Anthony Fred wa Tegeta, ambaye alisema watu wameichoka CCM na ndio maana hawataki kusikia lolote kutoka kwao.

“Kama Makamba alitaka watu waingie bure, angesema tangu jana kabla ya tiketi kuanza kuuzwa. Hizo ni njama za kuwageuza watu akili ili waone CCM inawajali,” alisema huku akisisitiza kuwa huu ni mwaka wa mabadiliko.

Shabiki mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Mohamed Hassan alikwenda mbali zaidi na kutabiri kifo cha chama hicho kikongwe.

“Hali iliyojitokeza uwanjani hapa inaweza kuwa anguko la CCM, hivyo wanatakiwa kujipanga kwa kuwa wana kazi ngumu kwenye uchaguzi wa mwaka huu,” alisema.

Athuman Sadiq, shabiki mwingine aliyekuwapo uwanjani, alisema watu wamezomea kwa sababu walikasirishwa kwa kuwa CCM wameonekana walitaka kutumia mchezo huo kwa ajili ya kampeni.

Shabiki mwingine, Peter Kisavo wa Mbagala, alisema: “Mimi ni CCM damu, lakini kitendo hiki kimeniudhi, wanataka kutuharibia kuchanganya siasa katika michezo.”

Chadema, ambayo inashirikiana na NCCR-Mageuzi, NLD na CUF kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu, iliomba kutumia uwanja huo wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua watu 60,000 kwa ajili ya kufanyia uzinduzi wa kampeni zake, lakini Serikali ikaikatalia kwa maelezo kuwa kwa sasa utumike kwa michezo tu.

CHANZO: MWANANCHI

ILANI YA UCHAGUZI MKUU 2015 - CHADEMA/UKAWA.. PAKUA HAPA!

RAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO WA KAMPENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI MOROGORO JANA

$
0
0
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya  Mkoa wa Morogoro Dkt. Ritha Lyamuya alipokwenda kuwapa pole majeruhi walioumia katika msongamano mkubwa uliotokea katika mlango wa kutokea nje baada ya mkutano wa kampeni wa CCM katika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana Septemba 6, 2015. Watu wawili walipoteza maisha, akiwemo mvulana wa miaka 12 aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Abdallah na mwanamama Grace George (42), ambapo jumla ya watu 17 walijeruhiwa na kukimbizwa hospitalini hapo. Hadi jioni hii majeruhi saba walikuwa wameruhusiwa
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Kaimu Mganga Mku wa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro Dkt. Samson Tarimo alipokwenda kuwapa pole majeruhi walioumia katika mlango wa kutokea nje baada ya mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana Septemba 6, 2015.
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mweka Hazina wa CCM mkoa wa Morogoro Ndg. Hassan BAntu alipokwenda kuwapa pole majeruhi walioumia katika mlango wa kutokea nje baada ya mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana Septemba 6, 2015.
 Mmoja wa majeruhi Bw. Kokoliko Ramadhani akiwa kitandani pake hospitalini hapo akiuguza bega la kuume aliloumia kwenye msongamano huo
 Rais Kikwete akimpa pole  mmoja wa majeruhi Bw. Kokoliko Ramadhani akiwa kitandani pake hospitalini hapo akiuguza bega la kuume aliloumia kwenye msongamano huo
 Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimpa pole  mmoja wa majeruhi Bi Flora Maduka akiwa kitandani pake hospitalini hapo baad ya kujeruhiwa katika msongamano huo
 Rais Kikwete akimpa pole  mmoja wa majeruhi Bi. Jalia Mohamed akiwa kitandani pake hospitalini hapo akiuguza bega la kuume aliloumia kwenye msongamano huo
 Rais Kikwete akiendelea kutoa pole kwa majeruhi
 "Pole sana...." Rais Kikwete akimfariji mmoja wa majeruhi

 Rais Kikwete alitumia wasaa huo kuwapa pole wagonjwa wengine waliokuwa wamelazwa wodi moja na majeruhi hao. Hapa anamfariji mtoto aliyeungua kwa moto
  Rais Kikwete alitumia wasaa huo kuwapa pole wagonjwa wengine waliokuwa wamelazwa wodi moja na majeruhi hao. Hapa anamfariji mtoto aliyevunjika mguu wakati akicheza kwenye mti
Rais Kikwete akimpa pole mvulana ambaye aligongwa na gari wakati akielekea kumsikiliza mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli katika mkutano wa kampeni Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana 
Rais Kikwete alipata fursa ya kutembelea wodi ya watoto na kuwapa pole kwa kuumwa kwao
Rais Kikwete akiongea na wanafunzi waliokuwepo hospitalini hapo kumtembelea mgonjwa
Rais Kikwete alizongwa na wananchi waliokuwa na hamu ya kuongea naye 
Rais Kikwete akitoa mapendekezo ya kupanua hospitali hiyo ambayo ina eneo kubwa lakini majengo machache ya chini. Alipendekeza uongozi wa hospitali na mkoa ubuni namna ya kuipanua kwa kujenga majengo ya ghorofa ili kuwepo na wodi na sehemu nyingi zaidi za huduma.
Mwishoni Rais Kikwete aliongea na wanahabari wa kutoka vyombo mbalimbali na kueleza masikitiko yake kwa yaliyotokea jana Uwanja wa Jamhuri baada ya mkutano wa kampeni kumalizika.
Rais Jakaya Kikwete akiongea na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya  Mkoa wa Morogoro Dkt. Ritha Lyamuya baada ya kuwajulia hali majeruhi wa msongamano baada ya mkutano wa kampeni uwanja wa Jamhuri Morogoro jana. PICHA NA IKULU

LOWASSA ATIKISA KIBAMBA NA BUNJU DAR, AAHIDI VIWANDA KUTATUA TATIZO LA AJIRA

$
0
0

Mgombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia vyama vinavyounda UKAWA, Mh. Edward Lowassa, leo tena amelitikisa jiji la Dar es Salaam, hususan maeneo ya Kibamba kulikofanyika mkutano wa kihistoria wa kampeni ambapo maefu ya wananchi walifurika wengine wakikaa juu ya mapaa ya nyumba za madarasa, wengine kwenye miti, kutokana na kukosa eneo zuri la kuweza kushuhudia "live" mkutanonukiendelea. Changamoto ya maeneo ya kufanyia mikutano ya kampeni ndiyo inayoonekana kuikumba UKAWA, kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu wanaohudhuria mikutano hiyo.

Mh Edward Lowassa akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Kibamba ambaye pia ni Naibu katibu mkuu wa Chadema Bara Mh John Mnyika katika mkutano uliofanyika jimboni Kibamba.

Picha zote na Othman Michuzi

JAMES MBATIA AZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO, MSAFARA WAKE WAISIMAISHA VUNJO

$
0
0
Msafara wa Pikipiki ukimsindikiza mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo kupitia chama cha NCCR-Mageuzi na UKAWA ,James Mbatia wakati wa kwenda kufanya uzinduzi wa Kampeni katika jimbo jilo.
Msululu wa magari ukimsindikiza mgombea huyo.
Maeneo mbalimbali aliyopita mgombea huyo alipokelewa na makundi mbalimbali ya watu waliokuwa wamesimama kando ya barabara wengi wao wakiwa ni kina mama.


Katika maeneo mengine wananchi walisimamisha msafara wake na kusalimia kwa muda kabla ya kuendelea na safari.
Shughuli zilisimama kwa muda katika maeneo mbalimbali angalau kutoa nafasi japo kupunga mkono kwa mgombea huyo.
Msafara ukielekea uwanja wa Michezo wa Chuo cha Ualimu cha Marangu kwa ajili ya uzinduzi wa mkutano wa Kampeni.
Makondakta na madereva wa daladala katika eneo la Marangu mtoni wakisalimiana na mgombea ubunge katika jimbo la Vunjo ,James Mbatia.
Hii ndivyo ilivyokuwakatika eneo la Marangu Mtoni.
Raia wa kigeni wakichukua taswira za mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo,Jmaes Mbatia.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo James mbatia kaiwa ameongozana na mkewe ,Catherine Mbatia na motto wao Chelsea wakiingia katika uwanja wa michezo wa chuo cha Ualimu Mrangu kwa ajili ya mkutano wa ufunguzi rasmi wa kampeni.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini (0755 659929)

TASWIRA: SHEREHE ZA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA MASHARIKI KWA RAIS KIKWETE IKULU

$
0
0
 

unnamed

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amepokea Tuzo ya Kiongozi Bora Afrika Mashariki kutoka katika taasisi ya East Africa Book of Records yenye makao yake makuu jijini Kampala Uganda.

Pichani kiongozi wa Taasisi hiyo Dkt.Paul Bamutize akimkabidhi Rais Kikwete tuzo hiyo wakati wa hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam Septemba 8, 2015 . asubuhi.Sambamba na Tuzo hiyo Rais kikwete amepokea tuzo ya kuitambua Tanzania kama taifa bora Afrika Mashariki kwa kudumisha Amani na Utulivu,Huduma bora za jamii,na maendeleo makubwa ya kiuchumi katika kipindi cha miaka kumi.

1

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kumbukumbu maalum ya taasisi ya East Africa Books of Records mara baada ya kupokea tuzo maalum ya kiongozi bora Afrika mashariki kwa kudumisha amani nchini na katika jumuiya ya
Afrika Mashariki kwa ujumla hususani Kenya baada ya uchaguzu mkuu na Burundi hivi karibuni.Kushoto akishuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Africa Book of Records Dkt.Paul Bamutize na kulia ni Mkuu wa kitengo cha utafiti katika taasisi hiyo Bwana Luzindana Adam Buyinza.

4

Rais Dkt.Jakaya Mrisho akitoa hotuba yake baada ya kupokea Tuzo ya Kingozi bora Afrika Mashariki.

3

Mwakiulkishi kutoka ubalozi wa Uganda nchini Tanzania Bwana Stephen Kiyingi akitoa hotuba yake na ushuhuda jinsi Tanzania ilivyopiga hatua kubwa ya maendeleo katika miaka kumi iliyopita.

2

Baadhi ya Wageni walihudhuria hafla hiyo ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.

7

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza mabalozi kutoka nchi za Afrika ya Mashariki muda mfupi baada ya kupokea Tuzo.

6

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, mabalozi kutoka nchi za Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Tassisi ya East Africa Book of Records ikulu jijini Dar es Salaam leo.

5

Wataalamu wa Utafiti kutoka Taasisi ya East Africa Book Of Records wakiwa katika picha ya pamoja na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada kutunikiwa Tuzo hiyo.Kutoka kjushoto ni Kiongozi wa Taasisi hiyo Dkt.Paul Bamutize,Watatu kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Utafili cha taasisi hiyo Bwana Luzindana Adam Buyinza na kulia ni Afisa mwandamizi wa Taasisi hiyo Bwana Kato Issa.

(Picha zote na Freddy Maro)

MAGUFULI AHIDI KUFUFUA VIWANDA MKOANI TANGA,KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA

$
0
0
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akifafanua jambo mbele ya maelfu ya wakazi wa jiji la Tanga waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni,uliofanyika katika viwanja vya Tangamano jioni ya leo mjini Tanga. 
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Tanga kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya angamano,jioni ya leo ambapo aliahidi kuboresha Bandari ya Tanga, kujenga Viwanda vya matunda na samaki ili kuweza kupunguza tatizo kubwa la ajira kwa vijana.
 Naibu Waziri wa Sheria na Katiba,ambaye pia ni mgombea Ubunge viti maalum upande wa akina Mama mkoa wa Tanga (UWT),Mh Ummy Mwalimu akimuombea Kura za kutosha mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli ili aweze kuibuka mshindi na kuiongoza Tanzania katika awamu ya tano.
 Wakazi wa mji wa Tanga waliofika kwenye mkutano huo wakishangilia jambo. 
 Nyomi la watu . 
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akisalimiana na  Naibu Waziri wa Fedha na mgombea ubunge wa Jimbo la Iramba  Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba
  Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia  ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Bumbuli Mhe. January Makamba akihutubia wakazi wa mji wa Tanga kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
 Sehemu ya umati wa wakazi wa mji wa Tanga na vitongoji vyake wakiwa wamefurika kwenye viwanja vya Tangamano kwenye mkutano wa kampeni za CCM,ambapo Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli aliwahutubia wananchi hao.

 Dkt Magufuli akisisitiza jambo mbele ya maelfu ya wananchi (hawapo pichani) jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika uwanja wa Tangamano.
  Naibu Waziri wa Fedha na mgombea ubunge wa Jimbo la Iramba  Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba akihutubia wakazi wa Tanga mjini kwenye mkutano uliofanyika kwenye uwanja wa Tangamano. 
  Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia  ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Bumbuli Mhe. January Makamba na Naibu Waziri wa Fedha na mgombea ubunge wa Jimbo la Iramba  Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano wa kampeni jioni ya leo katika uwanja wa Tangamano,ambapo Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli alihutubia na Kumwaga sera zake kwa wananchi,ikiweno na kuomba ridhaa ya kuwaongoza katika miaka mitano ijayo.
 Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Mzee Yusuph Makamba akihutubia wakazi wa Tanga mjini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika ndani ya viwanja vya Tangamano.
 Maelfu ya Wananchi wakimsikiliza Dkt Magufuli alipokuwa akimwaga sera zake na kuwaomba wananchi hao wajitokeze kwa wingi Oktoba 25 na kumpigia kura ya ndio ili aibuke mshindi na kupewa ridhaa ya kuiongoza Tanzania katika awamu ya tano.
 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi wa mji wa Tanga waliofika kwenye mkutano hadhara wa kampeni,uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Tangamano mjini humo na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu.

PICHA NA MICHUZI JR-TANGA

Bi. Samia Suluhu Ahaidi Umeme Kila Kijiji Ruvuma, Viwanda vya Mahindi, Kahawa

$
0
0

Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu (katikati) akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini, Martin Mtonda (kushoto) na mgombea udiwani wa CCM.


MGOMBEA mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu ameanza ziara yake mkoani Ruvuma akiinadi ilani ya chama hicho huku akiahidi neema kwa wakulima wa kahawa na mahindi wa mkoa huo.

Bi. Samia Suluhu ambaye amehutubia mikutano mitatu katika majimbo mawili ya mkoa wa Ruvuma yaani Jimbo la Nyasa na Mbiga Vijijini, akizungumza katika mikutano yake amesema serikali itakayoundwa na CCM endapo itashinda itahakikisha inashusha umeme katika vijiji vyote vya mkoa huo kwa awamu ili kuchochea maendeleo ya wananchi.

Alisema kwa kuwa mkoa huo unazalisha mazao ya mahindi na kahawa serikali itahakikisha inaanzisha viwanda eneo hilo vya kusaga na kuandaa unga wa mahindi kwa wakulima na kuwawezesha ili wauze unga na kunufaika zaidi tofauti na ilivyo kwa sasa ambapo wamekuwa wakilanguliwa.

Alisema viwanda vingine ambavyo Serikali ya CCM itavianzisha ni pamoja na viwanda vya kubangua kahawa na kuiandaa kikamilifu tayari kwa kutumika, jambo ambalo alisema licha ya kuongeza thamani ya zao hilo itaongeza ajira kwa vijana na kuchochea uchumi wa wakulima eneo hilo.
Akizungumzia miundombinu ya barabara ambayo bado ni changamoto kwa mkoa huo hasa vijijini alisema serikali itakayoundwa na CCM chini ya uongozi wa Dk. John Pombe Magufuli pamoja na yeye watahakikisha wanajenga na kuboresha barabara za maeneo hayo ili ziweze kupitika kwa uhakika.

Hata hivyo kiongozi huyo amesema Serikali itakayoundwa na CCM endapo itashinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2015 imejipanga kuboresha vizuri huduma za afya kuondoa ukiritimba na rushwa, elimu kwa kutoa elimu bure toka darasa la kwanza hadi kidato cha nne pamoja na ujenzi wa mabweni na uwezeshaji vijana na akinamama kiuchumi popote walipo mjini na vijijini.

Ziara ya mikutano ya kampeni ya mgombea mwenza huyo wa urais tiketi ya CCM, inaendelea leo katika Mkoa wa Ruvuma na ataingia Jimbo la Tunduru kuendelea kuinadi ilaya ya chama hicho kuomba ridhaa kwa wananchi ili waweze kurejeshwa madarakani na kuunda dola.

Pichani juu ni baadhi ya wananchi na wanaCCM wakiwa wamefurika katika kiwanja cha Kijiji cha Maguu Wilaya ya Mbinga kumsikiliza mgombea mwenza wa urais kupitia tiketi ya CCM alipokuwa akiinadi ilani ya chama hicho.


Pichani juu ni baadhi ya wananchi na wanaCCM wakiwa wamefurika katika kiwanja cha Kijiji cha Maguu Wilaya ya Mbinga kumsikiliza mgombea mwenza wa urais kupitia tiketi ya CCM alipokuwa akiinadi ilani ya chama hicho.
Baadhi ya wananchi na wanaCCM wa Kijiji cha Maguu wilayani Mbinga wakimsubiri mgombea mwenza wa urais, CCM, Bi. Samia Suluhu. 


Pichani juu ni baadhi ya pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda zilizompokea mgombea mwenza wa CCM urais, Bi. Samia Suluhu mara baada ya kuingia Wilaya ya Mbinga zikiwa zimeegeshwa pembeni huku mkutano wa hadhara ukiendelea. 

Mmoja wa wajumbe wa kamati ya kampeni ya mgombea mwenza, Bi. Asumpta Mshama akizungumza na wanaCCM na wananchi (hawapo pichani) katika Kijiji cha Maguu, Wilaya ya Mbinga. 
Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu (kulia) akizungumza na Mjumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu, kabla ya kuanza kuhutubia katika mikutano wake wa kampeni.  

Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu (katikati) akizungumza na baadhi ya viongozi wa CCM ambao ni wenyeji wake mkoa wa Ruvuma.

Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu (katikati) akizungumza na mmoja wa vijana walemavu waliohudhuria mkutano wake wa hadhara Kijiji cha Maguu. Bi. Suluhu alimsaidia fedha kijana huyo. 

ANGALIA HAPA MAJIBU YA ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA JUU YA TUHUMA ZILIZOTOLEWA NA DR WILBROAD SLAA

$
0
0
 

Gwajima akizungumza na waandishi wa habari pamoja na waumini wa kanisa hilo jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kauli mbalimbali alizozitoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dk.Willibroad Slaa, akimtuhumu yeye kuwa ni mshenga wa Lowassa pamoja na kumpa siri za Maaskofu na wachungaji kuhongwa na Lowassa ambapo alikanusha tuhuma zote.

Baadhi ya waandishi wa habari na waumini wa Kanisala Ufufuo na Uzima wakifuatilia mkutano wa Askofu wa Kanisa hilo jijini Dar es Salaam jana

KONG’OLI HAPA KUMSIKILIZA KUPITIA YOU TUBE

Lowassa: Sina muda wa kujibu matusi ya CCM

$
0
0

MGOMBEA urais wa Tanzania anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa amesema hana muda wa kujibu matusi na kejeli zinazotolewa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi yake.

Badala yake amesema anatumia muda uliobaki wa kampeni kutafuta kura kwa wananchi kwa kunadi ilani ya chama chake. Anaandika Pendo Omary … (endelea).

Lowassa aliyeteuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameeleza hayo katika mkutano wa kampeni kwenye viwanja vya Mbezi Mwisho, jimbo la Kibamba, jijini Dar es Salaam.

Kauli hiyo ameitoa kama mrejesho wa kampeni ya kimkakati inayofanywa na makada wa CCM walioamua kumshambulia wakimtuhumu kuwa hafai urais, ni kapi, fisadi na mgonjwa.

“Sina muda wa kuwajibu. Tukutane kwenye sanduku la kura. Katika siku 48 zijazo, mtaamua juu ya ajira za vijana, afya kama mtaendelea kulala watano watano, mtaamua juu ya elimu yenu ambayo mimi natamani iwe bure kuanzia msingi hadi chuo kikuu, maslahi ya walimu na viwanda vyenye ajira,” amesema Lowassa ambaye tangu alipoanza kampeni amekuwa akiieleza Ilani ya Uchaguzi iliyopitishwa na UKAWA.

Lowassa amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kumpigia kura Oktoba 25, na kuzilinda kura kwa sababu tayari anazo taarifa kuwa CCM wamejipanga kuiba kura.

Lowassa alipanda jukwaani

Viongozi walianza kuhutubia saa 11:38 na kumaliza saa 12:10 jioni huku wananchi wakifika viwanjani hapo kuanzia saa 4 asubuhi.

Kulitokea tafrani kidogo pale viongozi wasimamizi wa jukwaa walipoamua kuwaondoa askari tisa wa Jeshi la Polisi waliofika mbele ya jukwaa kabla ya viongozi kwa nia ya kutoa ulinzi. Ilielezwa kuwa viongozi waliona “polisi hawaaminiki.”

Aidha, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye aliyejiunga na Ukawa wiki mbili zilizopita, amesema CCM hawataki kuachia madaraka licha ya kutokubalika kwa wananchi kwa sababu ya kudumaza maendeleo na kukumbatia rushwa na kujikita kumshambulia yeye na Lowassa.

“Nasisitiza watatoka tu, wamebaki na kazi ya kumchafua mgombea wetu na mimi. Lowassa alitoka serikalini miaka minane iliyopita, hata Rais Jakaya Kikwete alisema lililomkuta ni ajali ya kisiasa na kwamba hakuhusika na Richmond. Kwa vile leo ametoka CCM anaonekana ni mbaya,” amesema Sumaye.

Akihutubia jukwaani, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameionya CCM na serikali kuacha kuitumia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhujumu matokeo ya uchaguzi mkuu.

“CCM na serikali wanahofu. Baada ya kumchafua mgombea wetu pia wana mkakati wa kuitumia TRA kuingiza bidhaa mfano mafuta bila kulipa ushuru ili kuyauza na kununulia shahada za kupigia kura,” ametuhumu.

Mgombea ubunge wa jimbo la Kibamba, John Mnyika alitumia fursa hiyo kujinadi akisema Lowassa atakapochaguliwa kuwa rais atahakikisha serikali inapeleka maji jimboni.

Mnyika ambaye alikuwa mbunge wa Ubungo, jimbo linalogombaniwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hali Halisi Publishers Limited (HHPL), Saed Kubenea, alimtaja aliyekuwa Katibu Mkuu Chadema, Dk. Willibrod Slaa kuwa sasa ni adui wa chama hicho.

Amesema Dk. Slaa baada ya kukaa kimya kwa zaidi ya mwezi, tangu Chadema kilipomkaribisha Lowassa kujiunga, ameibuka na kusema chama kimepoteza misingi yake kwa kumpokea Lowassa na kumteua kugombea urais, hatua inayoonekana ni ya makusudi ya kuinua CCM.

“Kuna watu wametoka chooni wameingizwa chumbani… na mwingine ametoka chumba cha Ukawa na Chadema ameenda chooni. Tatizo la msingi adui yetu mkubwa ni CCM. Na sisi tunatangaza atakaeungana na CCM pia ni adui yetu,” amesema Mnyika.

Kubenea amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi Oktoba 25 kumpigia kura Lowassa huku wakikumbuka wanapaswa kuondoa maradhi makuu matatu yaliyotangazwa na Chama cha TANU (Tanganyika African National Union) ambayo ni maradhi, umasikini na ujinga.

“Ili Lowassa aweze kufanya kazi vizuri akiwa rais, lazima tupeleke wabunge wengi wa Ukawa bungeni. Twende tarehe 25 Oktoba kupiga kura huku tukikumbuka maneno ya rais mstaafu Benjamin Mkapa aliyekaa madarakani kwa miaka 10 bila ya kutuondolea upumbavu na ulofa,” amesema Kubenea.

Mkapa alitoa maneno hayo jukwaani siku CCM ilipozindua kampeni yake kwenye viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam, alipolenga kumshambulia Sumaye, waziri wake mkuu wakati alipokuwa rais.

Habari kwa hisani ya Mwanahalisi Online

Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii Tanzania

$
0
0
flavy-650x432   Dr Adelhelm James Meru akimkabidhi Flaviana Matata barua ya kuchaguliwa kwake huku kaimu Mkurugenzi Devota Mdachi akishuhudia, katika ofisi za wizara hiyoFlaviana matata  

Mwanamitindo wa Kimataifa anaefanyia kazi zake za nchini Marekani Flaviana Matata amechagulia na Wizara ya Maliasili kuwa Balozi wa Hiyari 'Good Will Ambassador' kwa kipindi cha miaka mitatu kwa dhumuni la kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania ndani na nje ya nchi.

Flaviana ambaye juzi alikuwa mmoja kati ya shuhuda wa kushuhudia wizara ya maliasili na utalii wakizindua rasmi tangazo litakalokuwa linatangaza vivutio vya Tanzania nje ya anchi alitawazwa leo hii na katibu mkuu Dr Adelhelm James Meru aliyemkabidhi kwa niaba ya Waziri , Mheshimiwa Lazaro Nyalandu huku Kaimu Mkurugenzi Madam Devota Mdachi akishuhudia.

Lowassa: Sina muda wa kujibu matusi ya CCM

$
0
0

MGOMBEA urais wa Tanzania anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa amesema hana muda wa kujibu matusi na kejeli zinazotolewa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi yake.

Badala yake amesema anatumia muda uliobaki wa kampeni kutafuta kura kwa wananchi kwa kunadi ilani ya chama chake. Anaandika Pendo Omary … (endelea).

Lowassa aliyeteuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameeleza hayo katika mkutano wa kampeni kwenye viwanja vya Mbezi Mwisho, jimbo la Kibamba, jijini Dar es Salaam.

Kauli hiyo ameitoa kama mrejesho wa kampeni ya kimkakati inayofanywa na makada wa CCM walioamua kumshambulia wakimtuhumu kuwa hafai urais, ni kapi, fisadi na mgonjwa.

“Sina muda wa kuwajibu. Tukutane kwenye sanduku la kura. Katika siku 48 zijazo, mtaamua juu ya ajira za vijana, afya kama mtaendelea kulala watano watano, mtaamua juu ya elimu yenu ambayo mimi natamani iwe bure kuanzia msingi hadi chuo kikuu, maslahi ya walimu na viwanda vyenye ajira,” amesema Lowassa ambaye tangu alipoanza kampeni amekuwa akiieleza Ilani ya Uchaguzi iliyopitishwa na UKAWA.

Lowassa amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kumpigia kura Oktoba 25, na kuzilinda kura kwa sababu tayari anazo taarifa kuwa CCM wamejipanga kuiba kura.

Lowassa alipanda jukwaani

Viongozi walianza kuhutubia saa 11:38 na kumaliza saa 12:10 jioni huku wananchi wakifika viwanjani hapo kuanzia saa 4 asubuhi.

Kulitokea tafrani kidogo pale viongozi wasimamizi wa jukwaa walipoamua kuwaondoa askari tisa wa Jeshi la Polisi waliofika mbele ya jukwaa kabla ya viongozi kwa nia ya kutoa ulinzi. Ilielezwa kuwa viongozi waliona “polisi hawaaminiki.”

Aidha, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye aliyejiunga na Ukawa wiki mbili zilizopita, amesema CCM hawataki kuachia madaraka licha ya kutokubalika kwa wananchi kwa sababu ya kudumaza maendeleo na kukumbatia rushwa na kujikita kumshambulia yeye na Lowassa.

“Nasisitiza watatoka tu, wamebaki na kazi ya kumchafua mgombea wetu na mimi. Lowassa alitoka serikalini miaka minane iliyopita, hata Rais Jakaya Kikwete alisema lililomkuta ni ajali ya kisiasa na kwamba hakuhusika na Richmond. Kwa vile leo ametoka CCM anaonekana ni mbaya,” amesema Sumaye.

Akihutubia jukwaani, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameionya CCM na serikali kuacha kuitumia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhujumu matokeo ya uchaguzi mkuu.

“CCM na serikali wanahofu. Baada ya kumchafua mgombea wetu pia wana mkakati wa kuitumia TRA kuingiza bidhaa mfano mafuta bila kulipa ushuru ili kuyauza na kununulia shahada za kupigia kura,” ametuhumu.

Mgombea ubunge wa jimbo la Kibamba, John Mnyika alitumia fursa hiyo kujinadi akisema Lowassa atakapochaguliwa kuwa rais atahakikisha serikali inapeleka maji jimboni.

Mnyika ambaye alikuwa mbunge wa Ubungo, jimbo linalogombaniwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hali Halisi Publishers Limited (HHPL), Saed Kubenea, alimtaja aliyekuwa Katibu Mkuu Chadema, Dk. Willibrod Slaa kuwa sasa ni adui wa chama hicho.

Amesema Dk. Slaa baada ya kukaa kimya kwa zaidi ya mwezi, tangu Chadema kilipomkaribisha Lowassa kujiunga, ameibuka na kusema chama kimepoteza misingi yake kwa kumpokea Lowassa na kumteua kugombea urais, hatua inayoonekana ni ya makusudi ya kuinua CCM.

“Kuna watu wametoka chooni wameingizwa chumbani… na mwingine ametoka chumba cha Ukawa na Chadema ameenda chooni. Tatizo la msingi adui yetu mkubwa ni CCM. Na sisi tunatangaza atakaeungana na CCM pia ni adui yetu,” amesema Mnyika.

Kubenea amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi Oktoba 25 kumpigia kura Lowassa huku wakikumbuka wanapaswa kuondoa maradhi makuu matatu yaliyotangazwa na Chama cha TANU (Tanganyika African National Union) ambayo ni maradhi, umasikini na ujinga.

“Ili Lowassa aweze kufanya kazi vizuri akiwa rais, lazima tupeleke wabunge wengi wa Ukawa bungeni. Twende tarehe 25 Oktoba kupiga kura huku tukikumbuka maneno ya rais mstaafu Benjamin Mkapa aliyekaa madarakani kwa miaka 10 bila ya kutuondolea upumbavu na ulofa,” amesema Kubenea.

Mkapa alitoa maneno hayo jukwaani siku CCM ilipozindua kampeni yake kwenye viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam, alipolenga kumshambulia Sumaye, waziri wake mkuu wakati alipokuwa rais.

Habari kwa hisani ya Mwanahalisi Online

WAZIRI MKUU PINDA AKABIDHI MAGARI YA KUBEBEA WAGONJWA JIJINI ARUSHA LEO YENYE THAMANI YA MIL 150

$
0
0

Waziri  mkuu wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Mizengo Pinda akiwa anakata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua magari ya kubeba  wagonjwa ambayo ameyakabidhi leo  mkoani Arusha kwa ajili ya kupelekwa wilayani Ngorongoro kwa ajili ya kutumika kwa ajili ya  kubeba wagonjwa

waziri pinda akiwasili  katika jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha

  Waziri mkuu akielekea kukabidhi rasmi magari mawili ya kubebea wagonjwa 

mkuu wa mkoa wa Arusha akiongeozana na waziri mkuu kwa ajili ya makabidhiano ya magari ya kubebea wagonjwa yaliyoletwa na waziri


Habari picha na Woinde Shizza,Arusha


Waziri Mkuu  wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda leo  amekabithi magari mawili  ya kubebea  wagonjwa yenye dhamani ya shilingi milioni 150.

Magari hayo ambayo yamekabidhiwa, yametokana na ahadi ambayo waziri huyo alitoa Kwa Wananchi wa wilaya ya ngorongoro wakati Alipofanya ziara wilaya ni humo september 2013.

Akizungumza wakati akikabidhi magari hayo waziri mkuu Mizengo Pinda  alisema wakati alipokuwa kwenye ziara wilaya ni humo, alipokea malalamiko ya kutakuwepo na magari ya kubebea  wagonjwa hali ambayo ili mfanya atoe ahadi nasasa ameamua kuitekeleza.

"nilipata malalamiko nikapeleka wizara ya afya, wakapokea na kaniambia watafanyia kazi sasa Kila  nikiwauliza Wakaniambia bado sasa nikabahatika kupata safari ya Kwenda japani nilipoenda Nitakuja na na Wananchi wa Tanzania wa naishi uko nikawaomba wa nisaidie japo gari moja ya kubebea wagonjwa sasa wao  ndio wakaja wakanipa magari haya mawili "alisema pinda

Alisema Kuwa mara baada ya kupokea magari hayo aliyafanyia ukarabati mdogo na sasa ameamua kuyaleta Mkoani ili yapelekwe katika wilaya husika ambapo alisema Kuwa mara baada ya kufikishwa wilaya ni ngorongoro  gari moja litatumika katika hospitali ya waso huku ingene ikitumika hospitali ya Enduleni.

Aidha aliwataka viongozi wa wilaya ya ngorongoro kutumia vyema magari hayo haswa katika shughuli iliolegwa, Pamoja na kuyatunza ili ya weze kutumika na kubeba wagonjwa wakati Mgonjwa anapotokea au tatizo la gafula linapotokea.

Aidha alibainisha Kuwa magari haya ameyatoa yeye mwenyewe  kutoka Kwa wa fadhili na sio magari ya wizara hivyo wakapokee haya wakijua ni ahadi ya waziri  mkuu, na sio ya wizara hivyo wapokee haya wakati wakiwa Wana ngoja magari ya kubebea wagonjwa kutoka wizarani


Alipokea msaada huo mkuu wa wilaya ya ngorongoro Ashimu Mgandila alisema Kuwa wa nashukuru sana Kwa msaada hii kwani Wananchi haswa wakina mama waja wa zito wali Kuwa wanateseka sana wakati walipo Kuwa wa naumwa.

Alisema  Kuwa wali Kuwa na gari ya kubebea  wagonjwa lakini imearibika Kwa kipindi karefu ila hii itakuwa ni suluisho Kwa Wananchi wa wilaya hiyo.

Kwa upande wake mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya ngorongoro  John kulwa alisema Kuwa magari  haya ni ukumbozi hasa Kwa upande wa wamama Pamoja na wagonjwa mahututi kutaka katika Kila kata na Kila kaya.

A SAFE AND FUN HAVEN FOR FAMILIES

$
0
0
unnamed

Head of Marketing The Walt Disney Company Africa, Deirdre King, talking to journalists (not in picture) who were attending the second edition of MultiChoice Africa Content Showcase Extravaganza #OnlyTheBest which held in Outrigger Mauritius Beach Resort, Bel Ombre recently.(Photo by Zainul Mzige of Modewjiblog)

Disney Junior, which airs on DStv channel 309 and GOtv Plus channel 60, is learning-focused and reflects the emotional connection that generations of consumers have to Disney storytelling and characters, both classic and contemporary. It invites mum and dad to join their child in the Disney experience of magical, musical and heartfelt stories and characters, while incorporating specific learning and developmental themes.

Reaching over 1.3 million kids and their families across Africa every day, Disney Junior now airs in 111 countries, with 9 visual feeds in 16 languages, representing a total of 47 million households across EMEA.

Launched in June 2011 in Africa, Disney Junior is the multiplatform entry point to all things Disney, starting from preschoolers ranging up to 7 year olds, and their carers and parents. With creative storytelling and engaging characters we help make learning a playful experience, whilst ensuring that parent and caregivers can immerse their kids in a safe and fun environment.

Highlights across the Disney Junior channel includes:

Disney Junior's animated television series, Sofia the First, is set in the storybook world of Enchancia. It tells the story of Princess Sofia - an adventurous little girl who is learning how to adjust to royal life after her mother marries the king and she becomes a princess overnight. Sofia is learning how to adjust to life with her new family which includes her step-father, King Roland II, and step-siblings Amber and James. Along the way, this ordinary girl learns to navigate the extraordinary life of royalty, and in the process makes everyone around her feel special.

Showcasing the hallmarks of great Disney storytelling, fantasy and wish fulfilment, Disney Junior's animated series, Doc McStuffins, tells the story of a nurturing six-year-old girl who can talk to the stuffed animals and toys that she cares for in her playhouse clinic. When Doc puts on her stethoscope, something magical happens; toys, dolls and stuffed animals come to life and she can communicate with all of them, including the toys belonging to her friends and other neighbourhood children.

Not only a ratings hit, the show has sparked a cultural nerve in the U.S., generating applause on parent blogs, Facebook and even in academia for its positive vocational message for African-American girls. Viewer Dr. Myiesha Taylor, who watches the show with her four year-old, was moved to create an online collage featuring an image of Doc, encircled by photos of 131 black women who are Doc’s real life counterparts. “We are trailblazers,” Taylor proclaimed on her website. “We are women of colour. We are physicians. We ARE role-models. We are Doc McStuffins all grown up!”

Disney Junior's Annie Award-winning series, Jake and the Never Land Pirates, is a music-filled interactive treasure hunt that introduces a crew of kid pirates - leader Jake and pals Izzy and Cubby - and follows their Never Land adventures as they work to outwit two infamous characters, the one and only Captain Hook and Mr. Smee, from Disney's classic, Peter Pan.

Minnie, Goofy, Donald, Pluto and Daisy all join Mickey in Mickey Mouse Clubhouse, Disney Junior’s vibrant interactive series that invites young viewers to help solve challenges and overcome obstacles. Each engaging story features a different theme and offers cognitive, social and creative-learning opportunities through a dynamic, play-along experience. Interactivity is key from start to finish as Mickey speaks directly to preschoolers, asking questions and encouraging them to play games, participate in special phrases or cheers, and solve puzzles to reach a goal.

Together with heritage animated series such as Gummi Bears, Chip ‘n Dale, Ducktales and classic Disney movies Aladdin, Cinderella and more, Disney Junior continues to create shared Disney memories between young and old viewers alike.

As of 1 October 2015, Disney Africa will launch the Disney Junior Africa Facebook page, giving parents and caregivers their very own Disney Junior experience on social media.

For more information, please visit www.dstv.comor www.gotvafrica.com.


TASWIRA: ZIARA ZA MBUNGE GODBLESS LEMA KUOMBA KURA KWA WANA ARUSHA SOMBETINI

$
0
0

Sombetini - Lema

Sombetini - Anna Lema

Mke wa Mgombea Ubunge Arusha Mjini kupitia CHADEMA, Bi Neema Lema akihutubia katika mkutano wa hadhara eneo la Mbauda katika mfululizo wa mikutano ya Lema kutafuta uungwaji mkono na wananchi kuelekea uchaguzi Mkuu baadae mwaka huu. Lema anwania muhula wa pili kuongoza Jimbo hilo. 

Neema Tarimo Lema amewaomba wanamama wa Arusha wasifanye makosa kwasababu wao kinamama ndio wakienda kujifungua hospitali ya Mount Meru hulazwa chini na watoto wao kwahiyo wamchague Lowasa ndio anaweza kuwatoa utumwani ambapo wameteseka kwa miaka 50.

Sombetini Mbauda - Lema

Sombetini Mbauda- Lema

Mh Lema akizungumza katika mkutano huo wa Septemba 8, 2015

PICHA NA MELEZO: NOEL OLEVAROYA, ARUSHA

RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WAPYA WA FINLAND NA SWEDEN IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

$
0
0

Balozi mpya wa Finland nchini Bw. Pekka Hukka akisanini kitabu cha wageni alipowasili Ikulu jijini Dar es salaam kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo Septemba 9, 2015

Balozi mpya wa Finland nchini Bw. Pekka Hukka akiwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 9, 2015

Balozi mpya wa Finland nchini Bw. Pekka Hukka baada ya kuwasilisha hati za utambulisho akiongea na Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 9, 2015

Balozi mpya wa Sweden Bi. Katrina Rangnitt nchini akiweka saini kitabu cha wageni kabla ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 9, 2015

Balozi mpya wa Sweden nchini Bi. Katrina Ranngitt  akiwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 9, 2015

Balozi mpya wa Sweden nchini Bi. Katrina Ranngitt  akisalimiana na Naibu Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa baada ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 9, 2015

Balozi mpya wa Sweden nchini Bi. Katrina Ranngitt  akiwa katika mazungumzo na  Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 9, 2015

Balozi mpya wa Sweden nchini Bi. Katrina Ranngitt akisindikizwa na Mnyikulu wa Ikulu Bw. Jumaa Bwambo  baada ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Jakay Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 9, 2015.

Picha na IKULU

SHEREHE ZA KUADHIMISHA MIAKA 10 ya MICHUZI BLOG

$
0
0

 

NA HILI NI NENO LA BLOGA MIWINGINE MKOBWE NCHINI MAGGID MJENGWA!

MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA MICHUZIBLOG!

Ndugu zangu,

KILA jambo la nafsiri yake. Maadhimisho ya Miaka Kumi ya uwepo wa Michuziblog hayawezi kupita bila kutafutiwa tafsiri yake.

Kwanza kabisa, kwa niaba ya wajumbe wangu wote, nichukue fursa hii kumpa pongezi za dhati ndugu yangu Kaka Muhidin Issa Michuzi kwa mafanikio makubwa aliyoyapata na pia mchango wake mkubwa alioutoa kwa Wanablogu wengine, nikiwamo mimi.

Muhidin Michuzi ataingia kwenye vitabu vya kumbukumbu ya historia kama Mtanzania aliyekuwa mstari wa mbele katika kufanya mapinduzi ya mitandao ya kijamii hapa nchini hususan eneo la blogu. Michuzi amechangia sana katika kuwafanya Wanablogu na blogu kwa ujumla wake, kuwa ni sehemu ya vyombo vya habari vinavyopaswa kutiliwa maanani katika kutoa mchango wa maendeleo ya nchi.

Bila shaka kuna waliomfahamu Muhidin Michuzi kupitia blogu yake. Nina bahati ya kumfahamu Michuzi kabla ya ulimwengu wa mitandao ya kijamii.

Kwangu mimi, na kwa wengi, Muhidin Issa Michuzi ni mbunifu na mwenye bidii na nidhamu ya kuifanya kazi yake. Ni mtu wa watu.

Nitasimulia hapa kwa mara ya kwanza, kuwa mwanzoni mwa miaka ya 90, Marehemu kaka yangu, Grey Mjengwa, alifiwa na binti yake wa mwaka mmoja tu, aliitwa Rahma. Shughuli ya msiba ilikuwa pale nyumbani kwetu Kinondoni Biafra.

Wakati huo hakukuwa na simu za mikononi wala mitandao ya kijamii. Lakini, nilifarijika sana, nilipomuona Muhidin Issa Michuzi akiwa mmoja wa waliokuja msibani. Enzi hizo mitandao ya kijamii ilikuwa midomo ya watu, bila shaka habari za msiba ule Michuzi alizisikia kutoka kwa watu. Si rahisi kuyasikia ya kijamii kama si mtu wa watu.

Ndugu zangu,

Mara ya kwanza kulifahamu jina Muhidin Issa Michuzi ilikuwa ni pale Tambaza Sekondari, ni mwaka 1986, nilikuwa Kidato cha Tatu. Tayari wakati huo nilikuwa na kijarida changu ' Tambaza News' nilichokuwa nikikiandika kwa mkono kwenye A4 na kubandika kwenye ubao wa matangazo. Nilikuwa na wasomaji wengu akiwamo Makamu Mkuu wa Shule, Mr. Mwaipopo.

Jumamosi moja niliangalia kwenye gazeti la Mfanyakazi nikakutana na picha iliyopigwa Mtaa wa Msimbazi ikionyesha ghorofa lililoporomoka kutokana na kukosa viwango. Na ni nani basi aliyekuwa wa kwanza kufika hapo kurekodi tukio hilo?

Ni Muhidin Issa Michuzi!

Nami nilikuwa mpenzi sana wa kupiga picha tangu utotoni. Nikajiuliza ni nani huyu Muhidin Michuzi? Miaka mitano baadae nikakutana nae pale Daily News.

Na nini ni special kwa Michuzi?

MJENGWA NA MICHUZI

Michuzi ana 'Jicho la picha'. Kupiga picha ni sanaa. Mpiga picha mzuri ni yule mwenye ' Jicho la Picha'.

Vinginevyo, unaweza ukabeba kamera yako na kutembea kutoka Kinondoni hadi Kariakoo usione hata picha moja. Na ukijilazimisha kupiga basi itakuwa unapiga 'picha bubu'- Picha zisizoeleza chochote.

" HAPPY BIRTHDAY MICHUZIBLOG!"

Maggid,

Iringa.

EKARI 7000 KUGAIWA KWA WANANCHI WA ARUSHA.

$
0
0

shamba

 

Na Ferdinand Shayo,Arusha.

Serikali imetwaa jumla ya Ekari 7000 baada ya ubatilishwaji wa Mashamba ya Tanzania plantatition limited yaliyokua yakimilikiwa na mwekezaji kutoka nje ,mashamba hayo yanatajiwa kugawanywa kwa wananchi 2000 wenye uhitaji wa ardhi ya makazi na mashamba .

Aidha baada ya ubatilishwaji wa mashamba hayo Arusha imepata ekari 6176.5 na Halmashauri ya Meru ekari 925 hivyo kufikia ekari 7101 ambazo zitagawanywa kwa wananchi.

Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi,Wiliam Lukuvi wakati akitoa taarifa ya usuluhishi wa migogoro ya ardhi katika mikoa ya Arusha na Manyara katika mkutano wake na Waandishi wa Habari,Lukuvi amesema kuwa mashamba hayo yalikua na migogoro kwa kipindi kirefu kati ya mwekezaji na Wananchi hivyo kutokana na uhitaji mkubwa wa ardhi serikali imeamua kubatilisha mashamba hayo.

“Nimekuja Arusha na timu yangu ambayo itafanya uhakikiki wa watu 2000 wenye uhitaji na baada ya kujiridhisha watafanya zoezi la ugawaji na pia wananchi watapatiwa hati ya kumiliki ardhi zao safari hii hatutagawa ardhi kienyegi” Alisema Lukuvi

Lukuvi amesema kuwa mbali na shamba hilo pia wamepata ekari 100 katika shamba la Imani Estate na pia Shamba la Noors lenye Ekari 2296 lililokua na mgogoro kati ya Mwekezaji na wananchi wa Kijiji cha Laroi na Kisima cha Mungu litagaiwa kwa wananchi baada ya mazungumzo kati ya Mwekezaji kukubali kuachia shamba hilo

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha DC ,Fidelis Lumato amesema kuwa ugawanywaji wa mashamba hayo utasaidia kupunguza migogoro mikubwa ya ardhi iliyokua inakabili wilaya hiyo kutokana na uhaba mkubwa wa ardhi.

Jumla ya migogoro 80 iliyowasilishwa kwa Waziri Lukuvi kutoka katika Halmashauri ya Jiji la Arusha ,Halmashauri ya Wilaya ya Arusha na Halmashauri ya Meru imepatiwa ufumbuzi hivyo kupunguza migogoro ya ardhi ilikua ikilisakama jiji la Arusha

TASWIRA: MGOMBEA WA UDIWANI KUPITIA CHADEMA EZEKIEL LESENGA WA KATA YA LOIBOR-SIRET

$
0
0

Lesenga

Mgombea wa udiwani tiketi ya chadema Ezekiel Lesenga wa kata ya loibor-siret iliyoko Wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara akiomba kura kwa wananchi wa Kata hiyo katika mkutano wa hadhara ambao mamia ya wananchi walijiunga na chama hicho. Picha na Ferdinand Shayo

Viewing all 1899 articles
Browse latest View live