Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA MESHIMIWA EDWARD LOWASSA - LONGIDO

 Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia Wananchi kwenye Mkutano wa Kampeni, Uliofanyika eneo la Namanga, Jimbo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: MAPOKEZI YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA NA MKUTANO JIJINI ARUSHA

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwa ameambatana na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Mh....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simanzi: Mgombea Ubunge Arusha Mjini kupitia ACT Wazalendo, Estomih Mallah...

By Louis Kolumbia, Mwananchi DigitalMgombea Ubunge kupitia ACT-Wazalendo Jimbo la Arusha Mjini amafariki dunia katika hospitali ya Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC) usiku wa kuamkia leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA LOWASSA MOSHI MJINI; AAHIDI NEEMA KWA WAKULIMA WA ZAO LA KAHAWA...

Kada mkongwe wa Chama cha Mapinduzi,aliyejiengua hivi karibuni ,Kingunge Ngombalemwiru akisalimia wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea Urais kupitia Chadema na Vyama vinavyounda Umoja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUZWAGI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI BORA WA MWAKA

Meneja wa Idara ya Maboresho ya Biashara wa Mgodi wa Buzwagi Bwana Richard Ojendo wa kwanza kushoto akipokea tuzo ya heshima ya utumishi uliotukuka ya meneja wa mgodi, “General Manager Prestegious...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ATIKISA KARATU KWA DR SLAA, NYOMI YA HATARI

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akivalishwa mgolole  katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: MARUFIKO YA LOWASSA JIMBO LA SIHA JANA KABLA HAJAENDA TARAKEA,...

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi wa Siha katika mkutano uliofanyika katika uwanja wa Sanja, Kata ya Nasia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SALAMU ZA POLE TOKA CHADEMA ARUSHA KUHUSINA NA KIFO CHA MGOMBEA UBUNGE WA...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Arusha Mjini kimesikitishwa na kuhuzunishwa na kifo cha mmoja wa wanasiasawakongwe nchini, Ndugu Estomih Jonas Mallah...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GESI YA BAGAMOYO ITALINUFAISHA TAIFA-MAGUFULI

Umati wa wakazi wa mji wa Bagamoyo mkoa wa Pwani wakiwa wamekusanyika kwenye uwanja wa shule ya Msingi majengo wilayani Bagamoyo wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli (hayupo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anayedaiwa Kuzusha Taarifa za kifo cha Mkuu wa Majeshi kortini

   MWANAFUNZI wa Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salaam (DIT), Benedict Ngonyani, amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kusambaza taarifa kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Davis Mwamunyange,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA NAMBIA AANZA ZIARA YA SIKU MBILI NCHINI TANZANIA

   Rais wa Namibia, Hage Geingob akilakiwa na Rais Jakaya Kikwete mara baada ya kuwasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam kwa ajili ya ziara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: MGOMBEA MWENZA WA LOWASSA URAIS WA TANZANIA, MH JUMA DUNI HAJI...

Mgombea mwenza wa Chadema, Juma Duni Haji akihutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Chang’ombe mkoani Dodoma. Mgombea mwenza wa Chadema, Juma Duni Haji akimnadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGULU NCHEMBA AKIOMBA KURA MKOA WA SIMIYU

 Mwigulu Nchemba akiondoka Jimbo la Maswa Mashariki kumnadi Ndg.Nyongo mbunge mtarajiwa wa Chama cha Mapinduzi.“CCM mambo yapo Poaaaa!!!”Mwigulu Nchemba akiwasili eneo la Mkutano akiwa na Mbunge wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBADHIRIFU KIKWAZO CHA USHIRIKA KUSHAMIRI

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida na Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, (Ushauri na Miradi), Amon...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: RAIS KIKWETE AKIZINDUA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE MTWARA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe Halima Denengo na mmiliki wa kiwanda kipya cha Saruji cha Dangote Alhaj Aliko Dangote (nyuma yao) wakati wa sherehe za kuzindua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNESCO kuendelea kushirikiana na Idara ya Mambo ya Kale katika kuboresha...

Baadhi ya washiriki wa warsha iliyoandaliwa na UNESCO pamoja na Idara ya Mambo ya Kale wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Mr Adelhelm Meru kufungua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TECNO YAJA NA UBUNIFU ZAIDI

MAKAMPUNI yanayozalisha Simu nchini yameshauriwa kuhakikisha wanakuwa wabunifu katika kusanifu na kuzalisha simu bora ili kwenda sambamba na soko na mahitaji ya wateja. Wito huo umetolewa na Meneja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA MTOTO KIKE LAFANA, LATOA KAULI NZITO

Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Kike Duniani Mkurugenzi wa watoto kutoka Wizara ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Margaret Sawe Mussai akiwaasa watoto wa kike kuzingatia elimu kwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INTRODUCING NEW MOVIE ; MAISHA NI SIASA

MAISHA NI SIASA is a political film that tells a story of sacrifice, patriotism, loyalty, heroism, challenges and the role that bloggers and social media activists play in post­independent African...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TTCL Wazinduwa Wiki ya Huduma kwa Wateja, Kuwatembelea Wateja Popote

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kulia) akikata keki katika moja ya tawi la ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kuzinduwa wiki ya huduma kwa wateja...

View Article
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live