Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1899

Bei ya Uniti ya Umeme yapanda kwa 8.5%

$
0
0

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi amesema umemeumependa kwa asilimia 8.5badala ya asilimia 18.19 kama walivyoomba TANESCO na kwamba mabadiliko hayo yataanza ramsi Jumapili ya Januari mosi 2017.

Akifafanua zaidi Ngamlagosi amesemaongezekohilo halitamuathiri mtumuaji wa umeme nyumbani anayetumia umeme usiozidi uniti 75, ambaye kwa kawaida hutambuliwa kuwa ni wa kundi D1 na mahitaji yao huwani madogo. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1899

Trending Articles