Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1899

Halmashauri ya Mji wa Babati yatoa Sh Mil 150 za awamu ya pili mikopo ya ujasiriamali kwa vijana na kinamama

$
0
0
Halmashauri ya Mji wa Babati imetoa mikopo zaidi ya sh milioni 150 kwa vijana na kina mama wajasiriamali ili waweze kujikwamua kimaendeleo.

Akisimulia Blogu hii namna zoezi hilo lilivyoanikiwa, Mbunge wa Viti Maalum Babati kupitia CHADEMA, Mh Pauline Gekul, amesema zoezi hilo la utoaji mikopo limefanyika jana  katika uwanja wa Qwaraa, Banati Mjini.

Hii niawamu ya pili ya utoaji mikopo ambapo awamu ya kwanza ilikuwa  Machi 19 mwaka huu na zaidi ya shilingi milioni 100 zilitolewa kama mikopo kwa vijana na kina mama wajasiriamali ndani ya Halmashauri hiyo.








Viewing all articles
Browse latest Browse all 1899

Trending Articles