Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1899

Picha ya Siku: Mbuzi wakivuka barabara eneo maalumu la kuvukia bila mchunga

$
0
0
Picha hii iliyopigwa na Halima Kambi wa Nipashe inaonesha wanyama mbuzi wakivuka barabara katika mistari ya zebra eneo la Magomeni Hospitali Jijini Dar es Salaam siku ya Disemba 18, 2016 bila kuwa na mtu  wa kuwaangalia, hali  iliyosababisha kero kwa watumiaji wa barabara ingawa ni kituko pia.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1899

Trending Articles