Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1899

Taswira: Mbowe akiongoza kikao cha ndani kufanya tathmin ya Uhai wa CHADEMA Mbeya Mjini leo

$
0
0
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh Freeman Mbowe akifungua kikao cha ndani chachama hicho kinachojumuisha viongozi kuanzia ngazi ya Msingi hadi Mkoa kujadili hali ya kisiasa kwa chama  hicho Jijini Mbeya leo.
Pichani ni wajumbe na viongozi wakiwa katika Kikao cha ndani kukagua uhai wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Nyasa kwa Mkoa wa Mbeya leo.

Kikao hicho kinaongozwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh Freeman Mbowe ambaye ameambatana na viongozi wengine wa Kamati Kuu ya chama hicho na wabunge mbali mbali.
Baadhi ya viongozi wa Kamati Kuu ya Chadema na Wabunge wakiwa ukumbini
Sehemu ya meza kuu
Wajumbe wa mkutano wakifuatilia hotuba za viongozi


Picha zaidi kutoka ukumbini





Viewing all articles
Browse latest Browse all 1899

Trending Articles