Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI SIMBACHAWENE: “RUKSA WENYEVITI SERIKALI ZA MITAA KUTUMIA MIHURI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. George Boniphace Simbachawene akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kusitishwa kwa muda kwa waraka uliotoa muungozo wa matumizi ya Mihuri kwa Wenyeviti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA VYOMBO VYA HABARI KATIKA UTOAJI WA TAARIFA...

 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na uongozi na  baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya IPP Media yenye vituo vya Televisheni vya ITV, EATV na Capital Tv...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIMU WA 15 WA MASHINDANO YA KIMATAIFA YA MBIO ZA KILIMANJARO PREMIUM LAGER...

Mkuu wa wilaya ya Moshi,Kippi Warioba akizungumza wakati wa uzinduzi wa msimu wa 15 wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2017 ,uzinduzi uliofanyika Kibo Palace Home mjini Moshi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI WA MANISPAA YA MOSHI WATEMBELEA OFISI ZA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA...

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) Joyce Msiru akizungumza wakati wa ukaribisho wa Madiwani wa Halmashauri ya manispaa ya Moshi walipotembelea ofisi za mamlaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI WA MANISPAA YA MOSHI WATEMBELEA OFISI ZA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA...

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) Joyce Msiru akizungumza wakati wa ukaribisho wa Madiwani wa Halmashauri ya manispaa ya Moshi walipotembelea ofisi za mamlaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania kuanza kutumia mfumo wa Dirisha Moja la Huduma (Electronic Single...

Tanzania kuanza kutumia mfumo wa Dirisha Moja la Huduma (Electronic Single Window System) Kaimu Kamishna Mkuu TRA, Mary Maganga.Katika kuhakikisha inaboresha huduma kwa wafanyabiashara ambao wanaingiza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKUTANA NA BALOZI WA CHINA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Katibu Mkuu wa CCM, Abdurahman Kinana akimkaribisha Balozi wa China hapa nchini, Dk. Lu Young, alipofika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya mazungumzo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi nyingine ya Lema na Mke wake Yaahirishwa mpaka februari 2, 2017

Na.Vero Ignatus ArushaMbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na mkewe Neema Lema wamefikishwa katoka mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Arusha kusomewa mashtaka yanayowakibili katika kesi namba 351 ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YAOKOA MILIONI 300 KWA KUJENGA SHULE WENYEWE...

 Na Woinde Shizza,ArushaHalmashauri ya jiji la Arusha imeokoa zaidi ya shilingi  milioni mia tatusitini na nne  zilizokuwa zitumike kwa ajili ya kuwapa wakandarasi  kwaajili ya kujenga madarasa  baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha 5: Maandalizi ya Kuapishwa Donald Trump

Maandalizi ya kuapishwa Rais mteule Donald Trump yakiendelea siku mbili zilizopita tayari kwa kuapishwa siku ya kesho Ijumaa Januari 20, 2017.Mafundi wakiweka mambo sawa.Wapiga picha za kuganda na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKUU WA MASHIRIKA YA UMEME KUTOKA NCHI KUMI ZA EASTERN AFRICA WAKUTANA...

Na Woinde Shizza,ArushaWakuu wa  mashirika umeme kutoka katika nchi kumi za Afrika zinazozalishaumeme(Eastern Africa Power pool(EAPP)          zimekutana  jijini arushakwa malengo ya kujadili mfumo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI HOTELI YA PARROT ARUSHA WALILIA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA

Baadhi yawafanyakazi wa hoteli ya kitalii ya Parrot iliyopokatikati ya Jiji la Arusha wameulalamikia uongozi wa hoteli hiyokuwatelekeza jijini hapa na kushindwa kuwalipa malimbikizo ya mishaharayao ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA KAMATI YA BUNGE: MGODI WA BUZWAGI KUFUNGWA DISEMA MWAKA HUU

Muonekano wa Mgodi wa Buzwagi katika Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.Na Rhoda James – Kahama.Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa ameuongoza ujumbe wa kamati ya kudumu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEMINA YA MAFUNZO YA KARATE KIMATAIFA YAFANYIKA JIJINI ARUSHA

Wakufunzi wanaoingia kufanya mtihani wa kupandishwa madaraja wakiwa katika picha ya pamoja wakisikiliza maelekeo kabla ya kuanza kufanya mtihani huo.Picha na Vero Ignatus BlogWakwanza kushoto ni Master...

View Article

Halmashauri ya Jiji la Tanga yashauriwa kuandaa Miradi inayoendana na...

Halmashauri ya Jiji la Tanga yashuriwa kuandaa  Miradi inayoendana na Mahitaji ya WananchiNa Adili Mhina, Tanga.Halmashauri ya Jiji la Tanga imeshauriwa kuandaa miradi ya kupima na kuuza viwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRISHO GAMBO AONYA WAWEKEZAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO NGORONGORO

Na Woinde Shizza,Arusha.Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kuwa serikali haitasitakuwachukulia hatua wawekezaji wanaochochea migogoro katika wilaya yaNgorongoro na kusababisha uvunjifu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYABIASHARA WAILALAMIKIA HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA ,WAPINGA NOTISI...

Na Woinde Shizza,ArushaWAFANYABIASHARA wa maduka jijini Arusha,wameilalamikia halmashaurihiyo ,wakipinga notisi ya miezi mitatu waliopewa ,inayowataka kuondokakatika maduka hayo,ifikapo Machi 30,mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI YA AGRI-BUSNESS MEDIA INNITIATIVE YA JIJINI MWANZA YAWAHIMIZA VIJANA...

Mkurugenzi wa Taasisi ya Agri-Busness Media Innitiative In Tanzania (AMI-TZ) ya Jijini Mwanza, Deborah Mallaba, akikagua shamba la hekari mbili la taasisi hiyo ambalo lina mkusanyiko wa matunda na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO MKUU MAALUM WA CHADEMA KANDA YA SERENGETI

Ijumaa Januari 20,2017 kumefanyika mkutano mkuu maalumu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Serengeti inayojumuisha mikoa ya Shinyanga,Mara na Simiyu umefanyika katika ukumbi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA NA UTURUKI SASAINI MIKATABA TISA YA MAENDELEO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya mazungumzo na mgeni wake Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan (kulia) Ikulu leo...

View Article
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live