Quantcast
Channel: PolitiksiFactTrack ''ARUSHA255''
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali Mbaya imetokea Tengeru, watu wawili wapoteza maisha na 12 kujeruhiwa...

Watu wawili wanasemekana kupoteza maisha kwenye ajali ya bus la Hood lililokuwa linaelekea Mbeya na Hiace iliyokuwa inatoka Usa River kuelekea Arusha mjini, mapema leo asubuhi. Watu hao wawili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOANDIKWA NA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI AGOSTI 2, 2014

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE NASSARI ASHIRIKI MDAHALO ULIOANDALIWA MAKAO MAKUU YA BENKI YA DUNIA

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari (wa pili toka shoto) akiwa ni miongoni mwa wawasishaji wa mada katika mdahalo maalumu uliofanyika Makao Makuu ya Benki ya Dunia.Mbunge wa Jimbo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taswira: Joshua Nassari Uso kwa Uso na Rais Obama

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAGUZI WA VITENGO VYA MAWASILIANO SERIKALINI: MKURUGENZI WA IDARA YA HABARI...

Katika kutekeleza mkakati wa kutembelea na kukagua utendaji kazi wa vitengo vya mawasiliano serikalini, Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Bw. Assah Mwambene leo ametembelea Kitengo cha Mawasiliano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO WA...

 Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DCViongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Funga kazi: Warioba, Kabudi, Butiku wawasha upya moto wa Katiba

Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Palamagamba Kabudi (kulia) akizungumza kwenye mdahalo wa Katiba, uliofanyika Dar es Salaam jana. Picha na Edwin Mjwahuzi  Na Fidelis Butahe na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mansour Kusota Rumande!

Aliyekuwa Mwakilishhi wa jimbo la Kiembe samaki kupitia tikate ya CCM ambae pia amewahi kuwa Waziri wa zamani wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mansour Yussuf Himid amepandishwa katika mahkama ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ben Saanane - Nalaani vikali kauli ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba...

Mbali na Kulaani vikali kauli ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba Ndugu Samweli Sitta na Pia agizo la Mkuu wa Mkoa Wa Dodoma Bi.Rehema Nchimbi natoa rai kwa watanzania tujiandae kuchukua hatua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA YAJIPANGA KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Arusha,Samuel Saning’o akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri hiyo,kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji ,Fidelis...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI KWA NCHI...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Chuo cha Nelson Mandela cha jijini Arusha wakati alipowasili kwa ajili ya kufungua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NABAKI AFRIKA MABINGWA VIFAA VYA UJENZI KATIKA MAONESHO YA NANE NANE KANDA YA...

Meneja wa kampuni ya Nabaki Afrika tawi la Arusha Jesse S. Madauda akiongea na wateja waliotembelea katika  banda lao viwanja vya nane nane jijini ArushaHii ni moja ya vifaa vinavyopatikana katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE NA MUME WAKAMATWA WAKISAFIRISHA BANGI JIJINI ARUSHA

Gari aina ya Toyota Corolla lenye namba za usajili T.589 AZS likiwa limebeba magunia ya madawa ya kulevya aina ya bhangi mara baada ya kukamatwa eneo la Sanawari jijini Arusha na askari wa kitengo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA: MARAIS WA AFRIKA WALIVYOPOKELEWA MAREKANI

President Kikwete and the First Lady Mama Salma Burundi's President and his wife Kagame and his daughter... President Uhuru KenyataAnd... Uganda's President MuseveniFor those who watched the Business...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK: TUNAKWAMISHWA NA UZALISHAJI NA MATUMIZI MADOGO MNO YA UMEME

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Goodluck Jonathan wakati muda mfupi kabla ya kuanza kwa  Mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara la Afrika uliofanyika jijini Washington DC chini ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOANDIKWA NA MAGAZETI YA LEO ALHAMIS AGUSTI 7, 2014

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri atajwa njama za kumuua Dk. Slaa; Yadaiwa helikopta yake ilikuwa...

Picha za jana wakati Sebastian Peter Mzuka na Zacharia Martine Mfuko, walipoweka wazi mkakati mzima wa kulipua chopa iliyowabeba Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Slaa, Makamu Mwenyekiti Zanzibar Said Issa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EPHATA NANYARO KUWANIA UENYEKITI BAVICHA TAIFA

Ikiwa vuguvugu la chaguzi za Kitaifa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo likiwa linaanza kupamba moto, hususani kwa Baraza la Vijana (BAVICHA) ambapo fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari yatumbukia mto Naura na kuua

Kijana mmoja aliyetambulishwa kwa jina moja la Jackson mkazi wa Moshono Jijini Arusha ameelezwa kufariki katika jali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo baada ya gari aina ya Toyota Altezza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Lema, Madiwani Chadema Washiriki Maziko ya Katibu Mwenezi wa Chadema...

Mbunge wa Arusha Mjini ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Taifa, Mh Godbless Lema akiwa kanisani pamoja na madiwani wa Chadema Arusha Mjini katika misa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Katibu...

View Article
Browsing all 1899 articles
Browse latest View live